Free wifi Internet at home 8G+

Free wifi Internet at home 8G+

thegreat1510

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2021
Posts
1,408
Reaction score
3,633
Nisaidieni namna ya kutengeneza wifi network yangu mwenyewe bure high speed nimejaribu kusearch YouTube (experiment army) lakini sijafanikiwa. Kama kuna aliye na concept anisaidie pls
 
Wifi ni njia tu ya mawasiliano kama waya..

Swali lako ni kama unasema naomba njia ya kutumia waya wangu hapa nyumbani kuona movies bure. Bila TV na deki huo waya wako hautokuja kuonesha kitu.

Ili wifi itoe internet inahitaji source, Inaweza kuwa ni internet ilikuja na waya, dishi la satelite, modem yenye line etc.
 
Wifi ni njia tu ya mawasiliano kama waya..

Swali lako ni kama unasema naomba njia ya kutumia waya wangu hapa nyumbani kuona movies bure. Bila TV na deki huo waya wako hautokuja kuonesha kitu.

Ili wifi itoe internet inahitaji source, Inaweza kuwa ni internet ilikuja na waya, dishi la satelite, modem yenye line etc.
Mkuu, umeeelezea vizuri sanaa yaani kama hajaelewa hapa basi tena.

Labda alimaanisha ile ya kutumia satelaiti, kama sijakosea waliwahi kuelezea unatumia king'amuzi fulani kufikia satelaiti ambayo itakupa free internet

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wifi ni njia tu ya mawasiliano kama waya..

Swali lako ni kama unasema naomba njia ya kutumia waya wangu hapa nyumbani kuona movies bure. Bila TV na deki huo waya wako hautokuja kuonesha kitu.

Ili wifi itoe internet inahitaji source, Inaweza kuwa ni internet ilikuja na waya, dishi la satelite, modem yenye line etc.
hizo ni tafsiri sisisi, lakini nina uhakika umenielewa vema kabisa kile nachomanisha ila ni vile una asume kichwa chako kimekatwa.
 
Nisaidieni namna ya kutengeneza wifi network yangu mwenyewe bure high speed nimejaribu kusearch YouTube (experiment army) lakini sijafanikiwa. Kama kuna aliye na concept anisaidie pls

Tafuta router yenye wifi (Router zipo Brand nyingi, MikroTik, Huawei, DLink, Tenda, Motorola,ZyXel etc)

Kila router inakuja na mfumo wake wa configurations, ambapo utaufuata wakati wa kuunga vifaa vyako.

Kumbuka hapo utapata wireless tu. Kuhusu internet unaweza kutafuta ISP atakayekidhi haja zako.
 
Mkuu, umeeelezea vizuri sanaa yaani kama hajaelewa hapa basi tena.

Labda alimaanisha ile ya kutumia satelaiti, kama sijakosea waliwahi kuelezea unatumia king'amuzi fulani kufikia satelaiti ambayo itakupa free internet

Sent using Jamii Forums mobile app

Noo huyu huwa anaona video l/ picha za wahindi wakivuti viwers kwamba how to make 8G internet mara utaona kaunga nyembe, plag ya gari mara kichwa cha Usb ma kabetri pembeni nk.

Sasa jamaa anadhani thing are easy like he see.
 
Noo huyu huwa anaona video l/ picha za wahindi wakivuti viwers kwamba how to make 8G internet mara utaona kaunga nyembe, plag ya gari mara kichwa cha Usb ma kabetri pembeni nk.

Sasa jamaa anadhani thing are easy like he see.
Umenichekesha
Wahindi miyeyusho sana
Kuna video moja ila hii niliona instagram
Kachukua standfan ile plug kachukua chungwa kakata vipande viwili kachukua plug kachomeka kipande kimoja(yaan NEUTRAL ) na kipande kingne kachomeka(LIVE) kawasha fan inazungunguka mwamwamwa
Sasa umenikumbusha ile video nimecheka sana
 
Umenichekesha
Wahindi miyeyusho sana
Kuna video moja ila hii niliona instagram
Kachukua standfan ile plug kachukua chungwa kakata vipande viwili kachukua plug kachomeka kipande kimoja(yaan NEUTRAL ) na kipande kingne kachomeka(LIVE) kawasha fan inazungunguka mwamwamwa
Sasa umenikumbusha ile video nimecheka sana

Sasa huyu mtoa mada ni hamnazo kweli, anadhani ndio atapata 8g kwa huo upuuzi. BTW makampuni makubwa yapo yanapambana na 5g hayajafanikiwa. Hata nchi yetu haina 5G yeye anataka atengeneze 8G nyumbani kwake. Mata.ko kweli huyu
 
Nisaidieni namna ya kutengeneza wifi network yangu mwenyewe bure high speed nimejaribu kusearch YouTube (experiment army) lakini sijafanikiwa. Kama kuna aliye na concept anisaidie pls
Huwezi mkuu maana wanao supply internet hapa Tanzania ni ttcl, hii minara ni kama wifi hotspot.

cha kukushauri nunua zuku lipia elf 70 unatukia kadri unavyotaka unlimited
 
kiufupi ni unataka usaidiwe kitu ambacho hata mitandao ya simu imeshindwa mpaka sasa haijafikia hiyo technolojia! Achana ni kina chief mkwawa watakuchanya zaidi labda hapa utanielewa, nimejaribu kua as simple as i can
 
Inawezekana ndugu hermanthegreat,

kuwa na wifi yako inawezekana kabisa tena bure ila internet ndio sio bure , cha kufanya kuwa na wireless router alafu connect router na computer yako kwa kutumia ethernet cable.

- Fungua browser yoyote kama chrome alafu ingiza default IP address ya router ambayo utaikuta imeandikwa kwenye stika kama iyo router ni mpya na kama sio mpya au hujui tumia 192.168.1.1 au 192.168.0.1 au 192.168.2.1 alafu bonyeza enter .

-Itafunguka interface ya kuweka username na password , sasa apo tumia za kwenye stika iliyopo kwenye router au kama hauna pale kwenye username jaza (admin) na password jaza pia (admin) bila mabano, alafu ingia, kama ikigoma itabidi u reset iyo router alafu uingie tena itakubali, kikubwa ujue ku reset.

-Itakuja interface ya ndani ya router na utaona setting nyingi tu, mpaka apo utakuwa umeingia ndani ya router , sasa fanya configaration kama kutengeneza jina la wi-fi yako na password, kwenye password chagua WPA2 maana ni salama zaidi alafu save.

-Mpaka apo unaweza kujaribu hata kwenye simu ukaiona.

Ishu ya speed sio wewe bali ni ISP(Internet Service Provider) anaekupa internet ndo anaamua akupe speed gani sio wewe.
 
Huwezi mkuu maana wanao supply internet hapa Tanzania ni ttcl, hii minara ni kama wifi hotspot.

cha kukushauri nunua zuku lipia elf 70 unatukia kadri unavyotaka unlimited
ndugu kuna ISP(Internet Service Provider) wengi wanatoa service ya internet na wana Association yao inaitwa Tanzania Internet Service Providers Association na mfano wa hao providers ni

 
Back
Top Bottom