Free to air receiver

Nimejoin

Member
Joined
Aug 25, 2019
Posts
10
Reaction score
2
Natumia kingamuzi cha free (dvb t2) to air cha antenna, naomba maujanja au frequency za kupata channel nzuri.
 
Reactions: Ctr
Kwa hiyo kichwa cha habari umeweka ili habari tutafute wenyewe au cio.
 
Amefuta maelezo, JF mtu hawezi kudelete post kwahiyo jamaa kaona aedit tu kwa kufuta maelezom...
 
Natumia kingamuzi cha free (dvb t2) to air cha antenna, naomba maujanja au frequency za kupata channel nzuri.
Huyo aliyekuuzia alitakiwa akupe maelezo ya kutosha kuhusu upatikanaji wa hizo channel
 
Hiki hapa pichani,
Unatumia tu antenna ya kawaida ile, hakuna malipo ya mwisho wa mwezi,
Kinasupport hadi Wi-Fi ukichomeka Wi-Fi receiver kwa ajili ya YouTube na iptv, kina rekodi pia na radio zinashika.
Kuna kimoja kimebaki unaeza nicheki tuongee.
Kinaitwaje mkuu na msaada nini na nini kinatakiwa ili nipate hizo za bure mkuu.
 
Wakuu hii kitu vipi kwa hapa Bongo inaweza fanya hayo ya juu hapo🤔
Chief-Mkwawa
Extrovert
 
Nipo Mikoani tena nje ya mji kabisa mkuu,
Mbc 2 pia naiona japo inakata kata labda nijaribu Kuhamishia antenna nje itakua freshi.
Ndio inawezekana mkuu, sema location pia muhimu sababu Ni antenna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…