[COLys]kama uliyoandika ni kweli basi mimi namsifu mbowe naninazidi kuwa na imani naye!! ..kwanini ? kwasababu huo ndio uhuru wa vyombo vya habari, mbowe hatakiwi kuliingilia gazeti kwa chochote kwani media inatakiwa isiwe na bias...ni kweli tanzania daima imekuwa ikibalance sana habari zake tofauti na gazeti la makada....huo ndo uhuru wa kweli kwa vyombo vya habari...jenga imani yako kwa mbowe[/FONT][/COLOR]
Hata mimi sina iman na mleta thread