FREE Kaspersky Security 2017 License key Activation code

FREE Kaspersky Security 2017 License key Activation code

fredj2

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
235
Reaction score
94
kaspa.png
HI NI KWA SIKU 91,BAADA YA HAPO UNARUDIA TENA HIZI CODES..
.>>KWA PC 4CH4C-PPFDT-NFK4B-45R69
>>>kwa android 95XKY-9HS4E-R315U-HVJZB

alafu lete mrejesho..
 
Mkuu, angalia cyber crime unit wasije wakadukua folders zote zikawa kwao kwa sababu ya hii antivirus kisha badae watu wakaanza kulialia humu JF.
 
Mkuu, angalia cyber crime unit wasije wakadukua folders zote zikawa kwao kwa sababu ya hii antivirus kisha badae watu wakaanza kulialia humu JF.
mkuu hii sio crack'''ukitumia cracks unakuwa kwenye hatariiii zaidi
 
mkuu hii sio crack'''ukitumia cracks unakuwa kwenye hatariiii zaidi

Kwa hiyo, hizo code umezidevelop wewe hapo ambazo ni tofauti na za mwenye copyright ya hii antivirus au nawe umeipata huko kwenye chimbo. Maana hizo za trial huwa hazijrudii ukiisha tumia.

Sasa wewe hapo, unasema mtu aataitumia baada ya 90days anarudia kwa codes izo hizo !?
 
Kwa hiyo, hizo code umezidevelop wewe hapo ambazo ni tofauti na za mwenye copyright ya hii antivirus au nawe umeipata huko kwenye chimbo. Maana hizo za trial huwa hazijrudii ukiisha tumia.

Sasa wewe hapo, unasema mtu aataitumia baada ya 90days anarudia kwa codes izo hizo !?

Naunga mkono hoja.
 
Kwa hiyo, hizo code umezidevelop wewe hapo ambazo ni tofauti na za mwenye copyright ya hii antivirus au nawe umeipata huko kwenye chimbo. Maana hizo za trial huwa hazijrudii ukiisha tumia.

Sasa wewe hapo, unasema mtu aataitumia baada ya 90days anarudia kwa codes izo hizo !?
generated by me
 
Hizo code ni giveaway by kaspersky wenyewe kwaajili ya trial use ya antivirus so its safe na kwakawaida ukirudia kuweka mara ya pili baada ya time kuisha itagoma cause haiwezi kutumika mara mbili
Apo utaitaji kaspersky trial resert uki reset tu
Utaweka hizo key tena hapo unaweza tumia antvirus yako miaka 10000 with full access kama umenunua vile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom