Imekubali mkuu njunwa wamavoko na inafanya kazi kama kawaida.
Windows 7 Ultimate 64-bit.
Ahsante.:clap2:
Maneno matupu hayavunji mfupa weka screenshots ndo tutaamini
Inabidi uwachallenge akina Cestus Abloodi farijiel maana hawapigi mishe afadhali wewe ulinitumia server za watu tofauti na mm niliokuwa nawajua au ukibahatisha kupata ujanja wa kutumia TCP 443 kwa Magic sim itakuwa poa maana mm UDP port 443 inapiga kazi fresh na Lport fln hivi hivo ikibuma #0 labda ibume na 443
Lkn usinisahau maana umenifurahisha jitihada lkn usiiuze kwa 5000 utakuwa unaua bussiness
Imekubali mkuu big up sana kwa hii service hakuna matata
Hii ni kwa muda tu. Baada ya muda fulani inakuwa haiwezekani tena.
Niliiona hii thread hapa Jukwaani tokea siku ilipowekwa ila ikawa vigumu kuamini kwamba kuna Mtanzania anayeweza kukupa free internet simply because umem-PM (tunajuana roho zetu Waswahili).
Juzi usiku nikaona niombe hizo username na password na mimi nijionee hiyo "free internet". Jana asubuhi zikafanya kazi vizuri ila baadaye kurudi jioni kuzijaribu hazikufanya kazi.
Akiulizwa ni kwanini zinakataa anawaambia ni kwasababu hawajaleta feedback wale walioleta feedback anawajibu alitaka awaonyeshe inawezekana ili na wao watengeneze configuration files zao zitakazofanya kazi (which is funny). Wapo watakaoweza kuziConfigure hizo files lakini unatakiwa uwe na extra skills and it's not only about kuCopy na kuPaste IP address.
Kwa ushauri, ungeweka hapo juu madhumuni ya hii thread yako ili kupunguza replies/comments zinazojirudia kwenye hii thread na kupunguza idadi ya watu watakao ku-PM (labda kama uwe unapenda kutumiwa PM).
Unaposema kitu ni free bila ya kutoa angalizo watu tumetofautiana jinsi ya kufikiri cause kuna mwingine anaweza kuhisi wewe ni "attention seeker" au ni limbukeni wa PM.
Samahani for the long post ila ninaimani itawasaidia baadhi ya watu.