Elections 2010 Free education pledge false - Kikwete

Nadhani kuna watu hawataki kuamini tu kile ambacho kinapendekezwa na Chadema. Wanaposema kuwa "free education" haina maana "costless education". Elimu bure siyo sawana elimu isiyo na gharama. Hata wakati wa Nyerere elimu ilikuwa na gharama lakini gharama hiyo haikulipwa moja kwa moja na familia na wanafunzi wenyewe. Tulijifunza kupitisha gharama hiyo kwenye taasisi au sekta nyingine.

Unapoweka lengo la kusema tunataka kutoa elimu ya kuanzia shule ya msingi hadi sekondari kuwa ni ya bure haina maana kutakuwa haina gharama. Na hii haina maana kuwa watu hawatopeleka watoto wao kwenye shule za gharama za binafsi.. la hasha kwa ufupi ni kuwa wale watakaopitia elimu katika shule za umma watapata elimu hiyo bure. So, kama mtu anataka kumpeleka mtoto wake kwa elimu ya sekondari kule St. Mary's au shule ya Msingi ya "international" basi atafanya hivyo kwa gharama yake.

Lakini, mzazi atakayetaka mtoto wake apate elimu nzuri kwenye shule za serikali basi mtoto huyo atapata elimu hiyo bure kabisa na gharama nyingine zitaingiwa kama ilivyoanishwa na Ilani ya Chadema. Ilani yao inasema hivi:
· Elimu ya ngazi ya msingi na sekondari itagharamiwa na serikali kuu pamoja na serikali za mitaa. Lengo ni kuhakikisha kuwa elimu hii ya msingi kabisa inakuwa ni haki kwa kila mtoto wa Kitanzania na kiwango cha ubora kinalingana kwa nchi nzima.


Lakini Ilani yao inaenda mbele zaidi kwa kufanya vitu viwili ambacho CCM haijavifanya kwa sababu "haiwezi":

·
Kuinua ujira wa walimu kwa kuangalia upya viwango vyao vya mishahara na kuimarisha mazingira ya kazi na kimakazi. Katika kuboresha mishahara ya walimu, na wafanyakazi wengine wote katika sekta ya umma, tutaweka fomula ya kupandisha mishahara kwa kadri mfumuko wa bei na gharama za maisha zinavyopanda kwa kutumia mpango wa Scala Mobile, ambayo ndio inayotumika katika nchi nyingi duniani. Hii ndio kusema kila mara ambapo mfumuko wa bei utapanda na hivyo gharama za maisha kupanda, mshahara nao utapanda. Hii ni hatua muhimu katika kuhakikisha kuwa wafanyakazi wanamudu gharama za maisha ya kawaida ili waweze kuwekeza muda na utaalamu wao katika kulitumikia taifa. Utaratibu huu pia utaondoa umuhimu wa migongano baina ya Serikali na vyama vya wafanyakazi.
· Sambamba na kuboresha mishahara ya wafanyakazi kwa ujumla, Serikali ya CHADEMA itarudisha posho ya mazingira magumu kwa walimu wanaofundisha maeneo magumu ya vijijini hasa katika mikoa inayotambulika kuwa ni ya pembezoni.



NNa yapo mengine ambayo ukiyasoma utaona kuwa si tu kwamba yanawezekana lakini yanapaswa kufanyika.










La
 
Free education was possible under Mwalimu Nyerere. Why not now with all the gold and other minerals coming out of the ground?

WHICH MINERALS ARE YOU TALKING ABOUT? ARE THEY THE SAME AS DISCUSSED HEREUNDER?
Tanzania - Still A Haven For Mining Investors?

Date 05/09/2007
The Right Side | By Erin-And-Isabel Now, if you are talking about mineral wealth Africa is up there in the realms of royalty. But as we keep telling you, investing in Africa is a risky business. The key is being able to climb into the mind of the government in question, to understand where it is coming from and, more importantly, where it's going.

cieve The Right Side here...

Easier said than done! Governments are made up of people and people don't always agree with one another. Take Tanzania's President, Jakaya Kikwete, and its Commissioner for Minerals, Dr Peter Kafumu, as an example.
One minute the President is telling a Cape Town based mining conference that a hike in mining royalties is on the cards. The next the Commissioner is reassuring industry that the chances of this happening are remote. Who is an investor to believe?
Mining policy under review... but still looks pretty reasonable

Over the last few months the Tanzanian government has indeed been reviewing all mining licences. This process is being run in tandem with the review of 1997's national mining policy which spawned the Mining Act of 1998. As a consequence they've been looking at royalties.
Currently miners in Tanzania pay about 3% in royalties for most minerals but around 5% for diamonds and gemstones. Some argue this is much too low considering that in South Africa mining companies must fork out 12%. Dr Kafumu doesn't buy this argument and has been willing to publicly state that the reason for SA's high royalties is because it is a safer investment bet than Tanzania. Mining companies in Tanzania have much higher operational costs totalling some 60% of profits.

Still, analysts widely agree that Tanzania is still a "competitive destination" mainly due to its "good government policies". High praise indeed for Africa!
Undoubtedly, favourable legal and fiscal measures, flowing from the Mining Act have acted as a catalyst for direct foreign investment in the mining sector. Some significant measures include:

  • Tax incentives such as repatriation of profits accrued from mining investments;
  • Special VAT relief;
  • Zero import duties for equipment and machinery used during exploration;
  • A depreciation allowance of 100%; and
  • A 15% withholding tax for foreign contractors on technical services and management fees.
These investment friendly policies have worked! By 2005 there were 21 mining ventures registered in Tanzania - six in gold mining, four in gemstone mining and the balance, though not of concern to us at Miner Diaries, industrial. Better still the mineral sectors' contribution to GDP has risen from 1.5% in 1995 to 3.2% in 2004. Predictions are that this could reach 10% by 2025.
Some incentives scrapped... but a new IT system limits the damage

Recently as the commodities boom has gathered momentum the Tanzanian public has started to ask more questions. Gold exports may have risen by 20% in 2003 from $414–$505 million but the Tanzanian people have not managed to get their hands on more than 5% of their very own precious yellow metal. Increasingly under pressure, the Tanzanian government had to do something. Some incentives like the 15% additional capital allowance provision have now been scrapped.
So then, are these rumblings the end then of the country's mining boom? We doubt it. Short of a Zimbabwe like fiasco, companies already operating in Tanzania are not going to back out if there are proven and probable minerals in the ground.
And from our precious point of view Tanzania's mineral resources are certainly not to be sneezed at! This is now the continent's third largest gold producer after South Africa and Ghana with proven gold reserves in excess of 36 million ounces. The most significant gold deposits have been found around Lake Victoria and are at various stages of development. But gold targets have also been identified in the south west.
estment email

Sign up to recieve


When you've got gold, gemstones come in rather handy too - yet another tick for Tanzania's precious box! Diamonds have been commercially produced at the Williamson Diamond Mine at Mwadui since 1925 but there are others too. Sapphires, rubies, emeralds, amethysts... the list is endless. So, no! This mining boom is set to continue. Thanks to Dr Kafumu - who seems like a pretty reasonable sort of guy - the royalty hike discussion seems to have been pushed under the carpet for the moment. Royalties, says Dr Kafumu, are "a very sensitive element that could make or break local and foreign investment."
What the government is doing, however, is fine tuning its IT infrastructure which should identify companies whose compliance record for paying royalties leaves a lot to be desired. This could rake in billions of dollars currently lost to royalty evaders. This year alone, fees and royalties are expected to increase to $50 million from less than $25 million in 2004 thus avoiding the need for any drastic fiscal/tax hikes.
Getting into the mind of government gets results

Meanwhile what the mining companies should be doing more of is getting as close to the Tanzanian government as possible, attempting to prove that they too have the country's interests at heart.
In spite of the mining contracts review, the Tanzanian government gave the green light to Barrick Gold Corporation's (TSX, NYSE: ABX) Environmental Impact Assessment report for its wholly-owned Buzwagi gold project. Buswagi is said to have 2.64 million ounces of gold reserves and an estimated life span of ten years. More on this project later in the month!
So for now we want to say this - all things considered Tanzania is a good bet for Africa as its mining policy still looks pretty fair. Put another way at least the government has been willing to engage with investors on the subject. It has been in talks with Barrick, the biggest gold mining company in the world, as well as Resolute Tanzania Limited and AngloGold Ashanti among others to work out the best way forward for keeping the public happy.
So, now that we've set the scene we'll soon be taking a closer look at the companies tapping Tanzania's mineral wealth.
In the mean time, keep digging!
Erin and Isabel

SOURCE: Tanzania - Still A Haven For Mining Investors?*.

HIVYO DR SLAA NA CHADEMA WANAPOSEMA TANZANIA INAO UWEZO WA KUWAPATIA WATOTO WOTE ELIMU YA BURE HADI KIDATO CHA SITA NI UKWELI MTUPU. KAMA SOUTH AFRICA WANACHUKUA (METALS ROYALT) MRAHABA WA 12% KWA MADINI YAO.

NI KWANINI TANZANIA INACHUKUA ONLY BETWEEN 3%-4%, KAMA SIO UFUSADI WA VIONGOZI WA CCM KUPOCKET ZA DIFFERENCE.

HALAFU RAIS JAKAYA KIKWETE ANATAMKA KATIKA MKUTANO KUWA MRAHABA UTAPANDA KAMISNA WA MADINI ANAMKANUSHA. JE HUU NI UONGOZI WA AINA GANI? HUU NDIO UONGOZI USWAHIBAH HUU!!!!

MWAKA 2007 TANZANIA DHAHABU YA THAMANI YA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 505, NA NCHI HAIKUPATA ZAIDI YA 5% YA KIASI HICHO KAMA MRAHABA 3% NA MAPATO MENGINE 2% SAWA NA DOLA MILIONI 25 TU. ILHALI KAMA TUNGEKUWA TUNAPATA 12% KAMA AFRIKA KUSINI MAPATO HAYO YENGEWEZA KUPANDA KUFIKIA KATI YA DOLA MILIONO 75 HADI 90. PUNGUFU IKIWA NI KAMA DOLA MILIONI 50 KWA MWAKA 2007 SAWA NA SHILINGI ZA KITANZANIA BILIONI 75 KWA EXCHANGE RATE YA SASA KWANI HATA SASA BADO ZINAPOTEA.

LICHA YA KIASI HICHO KIDOGO SERIKALI YA CCM PIA IMEKUWA IKISHINDWA KUKUSANYA ZAIDI YA NUSU YA MRAHABA HUO KUTOKANA NA WAWEKEZAJI KUKWEPA AMBAPO INAKADIRIWA ZAIDI YA DOLA MILIONI 25 HUPOTEA KILA MWAKA.

WANAJF HEBU TAZAMANENI HII ARTICLE MUONE WENNZETU WANAVYOTUDHAKI KWA KUSHINDWA KUKUSANYA MNAPATO KUTOKA KATIKA MADINI YETU KIASI CHA WAZUNGU KUITANA KUJA TANZANIA ILI KUZOA MADINI YA BURE HUKU WATANZANIA TUKIBAKI MASKINI.

HAYA NDIO WATANZANIA WANAPASWA KUELEZWA KWENYE KAMPENI MARA KWA MARA ILI WAWELEWE JAMANI!!!!
 
Free education was possible under Mwalimu Nyerere. Why not now with all the gold and other minerals coming out of the ground?

WHICH MINERALS ARE YOU TALKING ABOUT? ARE THEY THE SAME AS DISCUSSED HEREUNDER?
Tanzania - Still A Haven For Mining Investors?

Date 05/09/2007
The Right Side | By Erin-And-Isabel Now, if you are talking about mineral wealth Africa is up there in the realms of royalty. But as we keep telling you, investing in Africa is a risky business. The key is being able to climb into the mind of the government in question, to understand where it is coming from and, more importantly, where it’s going.

cieve The Right Side here...

Easier said than done! Governments are made up of people and people don’t always agree with one another. Take Tanzania’s President, Jakaya Kikwete, and its Commissioner for Minerals, Dr Peter Kafumu, as an example.
One minute the President is telling a Cape Town based mining conference that a hike in mining royalties is on the cards. The next the Commissioner is reassuring industry that the chances of this happening are remote. Who is an investor to believe?
Mining policy under review... but still looks pretty reasonable

Over the last few months the Tanzanian government has indeed been reviewing all mining licences. This process is being run in tandem with the review of 1997’s national mining policy which spawned the Mining Act of 1998. As a consequence they’ve been looking at royalties.
Currently miners in Tanzania pay about 3% in royalties for most minerals but around 5% for diamonds and gemstones. Some argue this is much too low considering that in South Africa mining companies must fork out 12%. Dr Kafumu doesn’t buy this argument and has been willing to publicly state that the reason for SA’s high royalties is because it is a safer investment bet than Tanzania. Mining companies in Tanzania have much higher operational costs totalling some 60% of profits.

Still, analysts widely agree that Tanzania is still a “competitive destination” mainly due to its “good government policies”. High praise indeed for Africa!
Undoubtedly, favourable legal and fiscal measures, flowing from the Mining Act have acted as a catalyst for direct foreign investment in the mining sector. Some significant measures include:

  • Tax incentives such as repatriation of profits accrued from mining investments;
  • Special VAT relief;
  • Zero import duties for equipment and machinery used during exploration;
  • A depreciation allowance of 100%; and
  • A 15% withholding tax for foreign contractors on technical services and management fees.
These investment friendly policies have worked! By 2005 there were 21 mining ventures registered in Tanzania — six in gold mining, four in gemstone mining and the balance, though not of concern to us at Miner Diaries, industrial. Better still the mineral sectors’ contribution to GDP has risen from 1.5% in 1995 to 3.2% in 2004. Predictions are that this could reach 10% by 2025.
Some incentives scrapped... but a new IT system limits the damage

Recently as the commodities boom has gathered momentum the Tanzanian public has started to ask more questions. Gold exports may have risen by 20% in 2003 from $414–$505 million but the Tanzanian people have not managed to get their hands on more than 5% of their very own precious yellow metal. Increasingly under pressure, the Tanzanian government had to do something. Some incentives like the 15% additional capital allowance provision have now been scrapped.
So then, are these rumblings the end then of the country’s mining boom? We doubt it. Short of a Zimbabwe like fiasco, companies already operating in Tanzania are not going to back out if there are proven and probable minerals in the ground.
And from our precious point of view Tanzania’s mineral resources are certainly not to be sneezed at! This is now the continent’s third largest gold producer after South Africa and Ghana with proven gold reserves in excess of 36 million ounces. The most significant gold deposits have been found around Lake Victoria and are at various stages of development. But gold targets have also been identified in the south west.
estment email

Sign up to recieve


When you’ve got gold, gemstones come in rather handy too — yet another tick for Tanzania’s precious box! Diamonds have been commercially produced at the Williamson Diamond Mine at Mwadui since 1925 but there are others too. Sapphires, rubies, emeralds, amethysts... the list is endless. So, no! This mining boom is set to continue. Thanks to Dr Kafumu — who seems like a pretty reasonable sort of guy — the royalty hike discussion seems to have been pushed under the carpet for the moment. Royalties, says Dr Kafumu, are “a very sensitive element that could make or break local and foreign investment.”
What the government is doing, however, is fine tuning its IT infrastructure which should identify companies whose compliance record for paying royalties leaves a lot to be desired. This could rake in billions of dollars currently lost to royalty evaders. This year alone, fees and royalties are expected to increase to $50 million from less than $25 million in 2004 thus avoiding the need for any drastic fiscal/tax hikes.
Getting into the mind of government gets results

Meanwhile what the mining companies should be doing more of is getting as close to the Tanzanian government as possible, attempting to prove that they too have the country’s interests at heart.
In spite of the mining contracts review, the Tanzanian government gave the green light to Barrick Gold Corporation’s (TSX, NYSE: ABX) Environmental Impact Assessment report for its wholly-owned Buzwagi gold project. Buswagi is said to have 2.64 million ounces of gold reserves and an estimated life span of ten years. More on this project later in the month!
So for now we want to say this — all things considered Tanzania is a good bet for Africa as its mining policy still looks pretty fair. Put another way at least the government has been willing to engage with investors on the subject. It has been in talks with Barrick, the biggest gold mining company in the world, as well as Resolute Tanzania Limited and AngloGold Ashanti among others to work out the best way forward for keeping the public happy.
So, now that we’ve set the scene we’ll soon be taking a closer look at the companies tapping Tanzania’s mineral wealth.
In the mean time, keep digging!
Erin and Isabel

SOURCE: Tanzania - Still A Haven For Mining Investors?*.

HIVYO DR SLAA NA CHADEMA WANAPOSEMA TANZANIA INAO UWEZO WA KUWAPATIA WATOTO WOTE ELIMU YA BURE HADI KIDATO CHA SITA NI UKWELI MTUPU. KAMA SOUTH AFRICA WANACHUKUA (METALS ROYALT) MRAHABA WA 12% KWA MADINI YAO.

NI KWANINI TANZANIA INACHUKUA ONLY BETWEEN 3%-4%, KAMA SIO UFUSADI WA VIONGOZI WA CCM KUPOCKET ZA DIFFERENCE.

HALAFU RAIS JAKAYA KIKWETE ANATAMKA KATIKA MKUTANO KUWA MRAHABA UTAPANDA KAMISNA WA MADINI ANAMKANUSHA. JE HUU NI UONGOZI WA AINA GANI? HUU NDIO UONGOZI USWAHIBAH HUU!!!!

MWAKA 2007 TANZANIA DHAHABU YA THAMANI YA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 505, NA NCHI HAIKUPATA ZAIDI YA 5% YA KIASI HICHO KAMA MRAHABA 3% NA MAPATO MENGINE 2% SAWA NA DOLA MILIONI 25 TU. ILHALI KAMA TUNGEKUWA TUNAPATA 12% KAMA AFRIKA KUSINI MAPATO HAYO YENGEWEZA KUPANDA KUFIKIA KATI YA DOLA MILIONO 75 HADI 90. PUNGUFU IKIWA NI KAMA DOLA MILIONI 50 KWA MWAKA 2007 SAWA NA SHILINGI ZA KITANZANIA BILIONI 75 KWA EXCHANGE RATE YA SASA KWANI HATA SASA BADO ZINAPOTEA.

LICHA YA KIASI HICHO KIDOGO SERIKALI YA CCM PIA IMEKUWA IKISHINDWA KUKUSANYA ZAIDI YA NUSU YA MRAHABA HUO KUTOKANA NA WAWEKEZAJI KUKWEPA AMBAPO INAKADIRIWA ZAIDI YA DOLA MILIONI 25 HUPOTEA KILA MWAKA.

WANAJF HEBU TAZAMANENI HII ARTICLE MUONE WENNZETU WANAVYOTUDHAKI KWA KUSHINDWA KUKUSANYA MNAPATO KUTOKA KATIKA MADINI YETU KIASI CHA WAZUNGU KUITANA KUJA TANZANIA ILI KUZOA MADINI YA BURE HUKU WATANZANIA TUKIBAKI MASKINI.

HAYA NDIO WATANZANIA WANAPASWA KUELEZWA KWENYE KAMPENI MARA KWA MARA ILI WAWELEWE JAMANI!!!!
 
Suala sio kuwa nchi haiwezi, ila hao viongozi mafisadi hawataki kutoa Elimu ya bure.
-kwa sababu haiwaumi watanzania maskini wakijikomboa kwa elimu walau hadi kidato cha sita: umaskini ambao wao wameusababisha kwa kuiba rasilimali ya nchi.
-kwa sababu watoto wao wanaweza kusoma kwa gharama yoyote ndani na nje ya nchi
-kwa sababu wao wanaweza kuchota hela popote; kodi za wananchi, mafungu ya misaada ya nje -EPA, wakawasomesha watoto popote duniani.
-kwa sababu ya kuwa na mtazamo finyu, hivyo kutoona faida ya wananchi wote kupata elimu ya 'msingi'; darasa la kwanza hadi F6.
-kwa sababu.......... endelea.....,

Sababu kubwa hasa ni kuwa Tanzania iliyo elimika ni threat kwa mustakabali wa CCM. By predictions, 95% of educated Tanzanians who are not seeking Political posts from CCM are ready to vote against CCM as long as they will not be identified and punished by CCM cronies like TISS and the like. The more educated people are with less opportunities for prosperity and good paying jobs the less attracted are with CCM and will seek to change how the country is run by electing alternative party. This was true in Kenya and will be true in Tanzania.

CCM is inversely proportion with Educated, the more people are educated the less likely to be hoodwinked by CCM's slogans and Komba's Music et al.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom