Fredrick Sumaye "nyota wa mchezo"

Fredrick Sumaye "nyota wa mchezo"

Sumaye atazunguka na Lowassa nchi nzima kwenye kampeni.
Kazi ya Sumaye ni kuwajibu magamba na watoa povu wote wa Ccm
Na kazi ya Lowassa ni kuinadi ilani ya ukawa na kuwaamsha wapiga kura waliolala usingizini.
Na rasmi combination hii imeanzia Iringa na kesho itakuwa njombe.
 
Ukiona jitu Zero kama Sumaye anakuwa Star kwenye timu yeyote ujue huko ni wafu
 
Hawamwelewi. Wanamwita zero. Jamaa wana vichwa vigumu. Safari hii wataelewa kwa bakora,tunza kikatio chako.
 
kwa jinsi ulivyowachana magamba jana na kuwapasulia ukweli nakupa SHIKAMOO SUMAYE, mkuu unatisha yaani jana ukubakiza kitu umewavua nguo magamba. shikamoo sumaye

mmmmh aliwachana au alijichana mwenyewe. Ubinafsishaji wote uliofanyika nchi hii yeye alikuwa waziri mkuu, mauaji yote ya wapinzani (Mwembechai na Zanzibar) yeye alikuwa waziri mkuu. Sasa aliwachana akina nani?
 
Back
Top Bottom