- Thread starter
- #61
Hahaha nitafurahi maana aliwapigania sana ccm kwa kuwaponda CHADEMA humu. Tafuta nyuzi zake kwa ushahidi zaidi. Alimponda sana Dr.Mkumbo.
Hahaha nitafurahi maana aliwapigania sana ccm kwa kuwaponda CHADEMA humu. Tafuta nyuzi zake kwa ushahidi zaidi. Alimponda sana Dr.Mkumbo.
Hahaha aliambiwa mavyeo ccm na serikalini ni mengi sanaaa.Fred yule ni mhuni wa Shirika laMaendeleo la Uholanzi (SNV) anafuga samaki mwaloni mwa ziwa Victoria hafai hata kuwa Mjumbe nyumba 10 alierubuniwa tu akidhani atateuliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wanasiasa wote au wabunge na mawaziri tu?! Kuna jamaa yangu mkuu wa wilaya yuko kawaida sana, anashukuru kuteuliwa lakini life yake simple sanaaa, hadi huwa nahisi halipwi mshahara.Wanasiasa wakipigika wnapigika vibaya maana Wana ishi maisha ya anasa sna
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
HaaminikiKakatwa Mkia
Aiseeee !!! Huruma kweli !Kawaida ya CCM wanapokuhitaji wanakutumia kama dodoki, wakikuchoka wanakutupa kama kondomu
Anaweza tokea mwisho akawa nini baada ya hiyo transition?!Yuko kwenye mpito ''Transition period''
Hahaha hao ni wale wanaohama wakiwa na ulaji mkononi, yeye alienda akiwa hana chochote zaidi ya kadi ya chadema, nao wakampa kadi ya ccm. Ukiwa mbunge wa chadema wanakypa ubunge wa ccm, mwenzetu alisahau " mkono mtupu haulambwi".Hakusajiriwa. Waliolamba vyeo walisaini deal kwanza kabla hawajatema jojo. Wengine shavu lao lilikuwa kubwa, ikiwemo kusamehewa/kulipiwa mikopo yao ya bank
Huyu Fred Mpendazoe alikuwa busy sana humu akileta nyuzi hadi tano kwa siku. Still CCM wakashindwa kumpa hata kata moja?.
Naona kwa sasa hata uwezo wa kumiliki compyuta au kasimu hana tena
In God we Trust
siyo wote wameahidiwa vyeo, wengine wametishiwa tu.
Mtatiro teuzi zijazo analamba udcMpendazoye umri umeshamtupa ila wakumuhurumia ni Mtatiro
Kuna mabadiliko madogo yanaenda kufanyika kuna ambao watapigwa chini hata. Mimi npo kwenye kusikilizia TEUZI hapa mkuu. Karibia naula