- Thread starter
- #41
Hahaha na ikianza kuuma akili inasimama kwanza.
Hahaha na ikianza kuuma akili inasimama kwanza.
Labda kalipya pension,kastaafu kila kitu.Kahama kabisa na JF@Fred Mpendazoe mbona kimya upo wapi?
Hahaha alitukanwa sana humu kila alipopost uzi, nadhani aliangalia malipo aliyokuwa anapewa na matusi aliyokuwa anavuna, akaamua kusepa.Labda kalipya pension,kastaafu kila kitu.
Hahaha nilidhani wanakutumua na kukutupa kama kondom.Kawaida ya CCM wanapokuhitaji wanakukumia kama dodoki, wakikuchoka wanakutupa kama kondomu
Bashite ndio Ridhiwani wa Kikwete ha ha anapanga tu safuuHajalamba soli za viatu vya Bashite
Hahaha kujipendekeza pia muhimu ili upangwe.Bashite ndio Ridhiwani wa Kikwete ha ha anapanga tu safuu
Hivi hayo mambo ya video bado yanaendelea? Nasikia hata Ma..ne wa Daruso naye alifanyiwaga hayo mambo wakati ule wa sakata la mamvi. Alikuwa anaandika sana makala kwenye gazeti la mwananchi.Ila huyu jamaa sielewi alipatwa na nini? Hoja zote alizokuwa anajenga sasa kimya kama yupo kaburini! Mara ya mwisho nakumbuka alimponda sana Kitila kwa kukubali kuusaliti upinzani.
Sasa sijui ni kweli kama alivyosema dada wa taifa kuwa kuna wengine wana (neno nimelisahau) huku wanarekodiwa halafu wanaambiwa watangaze kuhama au vinginevyo video ivujishwe mtandaoni.
Sasa kuficha aibu inabidi waibuke ghafla kuwa wanaunga mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kule hawajali hoja, mbona wakihamia huko hoja zinakauka?! Umemsikua Mwita Waitara tangu awe naibu waziri?! Anatia huruma hadi kwenye picha, anazunguka na waziri Jafo lakini hata kuongea hawezi tena, uso umevimba sijui wanamlusha nini huko.Ila huyu jamaa sielewi alipatwa na nini? Hoja zote alizokuwa anajenga sasa kimya kama yupo kaburini! Mara ya mwisho nakumbuka alimponda sana Kitila kwa kukubali kuusaliti upinzani.
Sasa sijui ni kweli kama alivyosema dada wa taifa kuwa kuna wengine wana (neno nimelisahau) huku wanarekodiwa halafu wanaambiwa watangaze kuhama au vinginevyo video ivujishwe mtandaoni.
Sasa kuficha aibu inabidi waibuke ghafla kuwa wanaunga mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha anaweza kuwa kama Masha, alipewa nguo nyingi za kijani nilidhani wanataka kumpa ukatibu mwenezi hadi leo sijui huwa anazivaa wapi?!
Hahaha kwani alipokuwa anatumika alisajau umri wake au hakujua kucheza sindimba lao?! Mtatiro anaweza kukosa kwasababu anataka cheo kikubwa kulingana na alichokuwa nacho CUF, alikuwa naibu katibu mkuu kisha kaimu mwenyekiti, sasa akipewa ukuu wa wilaya sio kumdharau kweli?! Anapaswa amreplace Mangula au mwenyekiti taifa.Mpendazoye umri umeshamtupa ila wakumuhurumia ni Mtatiro
Hahaha wanajirekidi wenyewe hakuna anayewafanyizia. Wana leakisha wenyewe kama kina amber rutiHivi hayo mambo ya video bado yanaendelea? Nasikia hata Ma..ne wa Daruso naye alifanyiwaga hayo mambo wakati ule wa sakata la mamvi. Alikuwa anaandika sana makala kwenye gazeti la mwananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha nitashukuru maana hadi miwani inalegea usoni.
Hahaha yuko kivukoni anasomeshwa diplomasia, atakuwa Balozi kama Dr.SlaaKwa kweli Mtatiro tumemkosa humu. Alikuwa hazina na kutusaidia ufafanuzi mwingi akiwa verified user. Lkn sasa kapotea kabisa. Naamini huko aliko anakosa Raha Sana. Lazima Mpoleeeeee!! Nimejifunza pakubwa Sana ktk Maisha haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha yule hapendi kujipendekeza, ndio maana hata chadema walidhani ni mamluki yeye alikuwa anafuata haki na sheria, hakupenda kuyumbishwa wakaona anawasumbua akawaachia umakamu mwenyekiti wao.yupo pia said arfi, huyu alihaidiwa na jiwe kazi kama akitoboa uraisi hadi leo holaaa