the manager
Member
- Jun 5, 2015
- 93
- 13
Sana sumbawanga ccm ni majizi pigia ukawa mpate maendeleo
Ivi sumbawanga ndo wapi wadau
Nakubaliana na wewe mkuu chilumendo kuhusu issue ya serikali za mitaa na ninawapongeza sana kwa ushindi ule,,,hiyo ndiyo siasa ya kweli na tunajipanga kusahihisha makosa kwenye uchaguzi wa mwezi october,,tuwapime wagombea bila kujali chama kwa mabadiliko ya kweli ya tanzania yetu
haa haa bungeni wabunge wengi ni watoro na viti ni vitupu.
Naomba kuuliza, Huyu Frank ni UCLaS/ARDHI Alumni??
aambunge swax mwaka huu ni kutoka Ukawa chadema) mh: IKUWO
Sumbawanga mjini habari ya mjini ni Ikuwo (CDM) wengine wote tupa kule
Acha ushabiki maandazi huyo maembe anakumbuka shuka kumekucha. Siasa za wafipa hazipo ivo,,ajipange 2020. Wapinzani wapo safii.
Sumbawanga ni kijiji au?
Kwa safari hii, Sumbawanga watachagua chama na sio mgombea kwa kuwa wana hasira kudhulumiwa waliyemtaka 2010. Hata Ikuwo atapita tu kupitia UKAWAMkuu mwasu naamini wewe ni kijana unaeyatazama mambo critically,,so far ni mwana ukawa gani ambae anania ya kuchukua jimbo na sera zake zilizokuconvice kumpa kura?au ndo yale yale ya kupigia kura chama?
Ww unaamini kabisa Sumbawanga tutachagua Ccm?
Hebu tupeni matokeo ya serikali mtaà 2014
kupata mgombea mzuri ccm ni sawa na kutafuta bikira kwenye wodi ya wazazi