Wakuu,
Wakati bunge la bajeti likiwa linaendelea Dodoma,mbunge wa sasa wa Sumbawanga mjini asiye na ushawishi mkubwa ndani ya chama ndugu Aeshi amekuwa akihangaika huku na kule kuhakikisha anai combat kasi ya wagombea walioonesha nia ya kugombea kupitia CCM na hasa nguvu ya kijana aliejitokeza na kuonekana ana ushawishi mkubwa kati ya makundi mbalimbali ya chama na hasa vijana ndani ya chama ndugu Frank Mwalembe.
Kumekuwa na wanaCCM wengi walioonesha nia ya kuchuana na Aeshi wenye uzoefu katika siasa kama Fortunatus Fwema lakini ujio wa huyu kijana Frank Mwalembe umeonekana wazi ukimnyima usingizi Aeshi na kushindwa kutulia kuendelea na majukumu yake ya kuisimamia serikali na kuwakilisha wananchi wake.
Ingekuwa ni busara Aeshi na wabunge wengine wa upinzani na chama tawala wasio na uhakika wa kurudi bungeni awamu ijayo watulie bungeni kufanya kazi waliyotumwa na vyama vyao na wananchi vitawapima kwa utendaji wa miaka yote mitano na si kuhangaika kama hizi sarakasi za muheshimiwa Aeshi kucombat nguvu ya walioonesha nia ya kuwania kiti chake kupitia Chama cha Mapinduzi.
Support na nguvu ya vijana anayopewa Frank Mwalembe isikufanye ushindwe kuwatumikia wanachi wako,time will tell.
Wakati bunge la bajeti likiwa linaendelea Dodoma,mbunge wa sasa wa Sumbawanga mjini asiye na ushawishi mkubwa ndani ya chama ndugu Aeshi amekuwa akihangaika huku na kule kuhakikisha anai combat kasi ya wagombea walioonesha nia ya kugombea kupitia CCM na hasa nguvu ya kijana aliejitokeza na kuonekana ana ushawishi mkubwa kati ya makundi mbalimbali ya chama na hasa vijana ndani ya chama ndugu Frank Mwalembe.
Kumekuwa na wanaCCM wengi walioonesha nia ya kuchuana na Aeshi wenye uzoefu katika siasa kama Fortunatus Fwema lakini ujio wa huyu kijana Frank Mwalembe umeonekana wazi ukimnyima usingizi Aeshi na kushindwa kutulia kuendelea na majukumu yake ya kuisimamia serikali na kuwakilisha wananchi wake.
Ingekuwa ni busara Aeshi na wabunge wengine wa upinzani na chama tawala wasio na uhakika wa kurudi bungeni awamu ijayo watulie bungeni kufanya kazi waliyotumwa na vyama vyao na wananchi vitawapima kwa utendaji wa miaka yote mitano na si kuhangaika kama hizi sarakasi za muheshimiwa Aeshi kucombat nguvu ya walioonesha nia ya kuwania kiti chake kupitia Chama cha Mapinduzi.
Support na nguvu ya vijana anayopewa Frank Mwalembe isikufanye ushindwe kuwatumikia wanachi wako,time will tell.