Frame Inapangishwa, Mzumbe University-Morogoro

Frame Inapangishwa, Mzumbe University-Morogoro

Rapture Man

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
439
Reaction score
145
Habari Wana JF.
Frame iko katika eneo la Chuo lililotengwa maalumu kwa ajili ya maduka. Si katika Dormitories.

Ina ukubwa wa 4.5m*4.5m

Imekamilika isipokuwa umeme tu. Kama kuna anayeihitaji na anataka iwe na umeme tutafanya utaratibu wa kuunganisha umeme.

Frame yenyewe iko katika ki-barabara (row) cha tatu kutoka mwanzo wa rows za maduka.

Kodi ni 70,000 kwa mwezi bila umeme. Nikikuwekea umeme kodi ni 90,000 kwa mwezi.

Kwa anayehitaji ni-PM.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Habari Wana JF.
Frame iko katika eneo la Chuo lililotengwa maalumu kwa ajili ya maduka. Si katika Dormitories.

Ina ukubwa wa 4.5m*4.5m

Imekamilika isipokuwa umeme tu. Kama kuna anayeihitaji na anataka iwe na umeme tutafanya utaratibu wa kuunganisha umeme.

Frame yenyewe iko katika ki-barabara (row) cha tatu kutoka mwanzo wa rows za maduka.

Kodi ni 70,000 kwa mwezi bila umeme. Nikikuwekea umeme kodi ni 90,000 kwa mwezi.

Kwa anayehitaji ni-PM.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Unaweza kuweka namba yako ya simu tukaongea biashara
 
Haya wadau, frame inapangishwa na pia inaweza kuuzwa. Inafaa kwa stationery, e-money, duka la simu na computer, hair cut, salon ya kike. Karibuni.
 
Back
Top Bottom