Frame 8 za biashara kwa milioni 15 dodoma mjini.

Frame 8 za biashara kwa milioni 15 dodoma mjini.

Good Neighbour

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2017
Posts
942
Reaction score
899
Wasalaam

1.Nauza frame zangu zilizopo Dodoma mjini maeneo ya michese.

2.Fame ziko umbali wa kama kilomita saba kutoka town kupitia njia ya kikuyu(usalama wa taifa)

3.Frame zipo 8 na zina uwanja,ukubwa waeneo haupungui robo eka.

4.Maji na umeme viko jirani,na ziko jirani na mradi wa kufyatua na kuuza tofali

5.Ni sehemu inayokuwa vizuri kwa sasa,kwa ambao sio wenyeji unaweza uliza wenyeji wa dodoma wanaopafahamu watakueleza.

6.Hati miliki yake ni ya kijiji/serekali ya mtaa.

7.Bei yake ni milioni 15 na maelewano yapo

8.zipo zingine jirani pia,ziko 7 zenyewe bei yake ni milioni 14 sifa zake ni sawa na za mwanzo.

9.kwenye picha hapa chini utaziona zenye frame 8(milioni 15) na frame 7(milioni 14)

10.kwa mawasiliano zaidi 0767833496/0659605358

NB; FRAME HIZI NI ZANGU BINAFSI NA MIMI NDIYE MMILIKI NA MUIZAJI,HAKUNA UDALALI/UWAKALA
95c295861a5b721c84cac09a243618a9.jpg
62bb5c45c9599479f3624d079daa0f40.jpg
20198e32aa99ff3e6ddb495b2ed114f3.jpg
690ce74fcfe75ad1a8f68305528945d7.jpg
02e4c5630c5974180d6c6bc32c9e69ac.jpg
0cfb9d7e1c3d33a9dcd6da84a1905fb4.jpg
38b3b5e38b583a1f8db829947d809bfc.jpg
 
Back
Top Bottom