MAUBIG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,040
- 858
- Thread starter
- #21
Kaka Mau unachoma mafuta bure, huyo Nanga anakumalizia nguvu zako bure, Mola ndo mtoaji besides bado kijana, una nguvu na afya, kikubwa pumzi maana tayari una ma idea kibao ya Ujasiriamali, ipo siku mola atasikia kilio chetu, mm mwenyewe tangu 2011 mpaka leo patupu, ila nashukuru maana nimejiajiri mwenyewe. Pamoja kaka, Ipo siku.
Pamoja sana mkuu, watu wakifanikiwa wanaona kana kwamba tusiofanikiwa mapema tu wazembe, kumbe kuna mambo mengi ni kikwazo katika mafanikio yetu