MAUBIG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,040
- 858
Habari wadau,
Ebana natumai mko salama wadau, nimeona nishare nanyi experience yangu kuhusu suala la ajira maana wahanga tupo wengi.
Mwenzenu tangu nimalize chuo nimeambulia interview NNE(4) tokea 2010 ni kama wastani wa interview moja kwa mwaka na bado sijafanikiwa.
Nishatuma idadi isiyohesabika ya barua online na posta bado tatu bila, nachoshukuru Mungu ni sijakata tamaa. Biashara hadi ya kuuza karanga za mayai nishafanya lakini vikwazo ni vingi.
Hivi sasa nafikiria kuuza samaki wabichi kutoka Tanga au Dar, kama. kuna mtu anaweza kuwa supplier wangu PM yako ni muhimu, nipo Dom
Ushauri kwenu wadau tusio na ajira ni tusikate tamaa kwasababu wengine wanafikiria hata kujiua, iko siku tutafanikiwa kwa uwezo wa MOLA
Ebana natumai mko salama wadau, nimeona nishare nanyi experience yangu kuhusu suala la ajira maana wahanga tupo wengi.
Mwenzenu tangu nimalize chuo nimeambulia interview NNE(4) tokea 2010 ni kama wastani wa interview moja kwa mwaka na bado sijafanikiwa.
Nishatuma idadi isiyohesabika ya barua online na posta bado tatu bila, nachoshukuru Mungu ni sijakata tamaa. Biashara hadi ya kuuza karanga za mayai nishafanya lakini vikwazo ni vingi.
Hivi sasa nafikiria kuuza samaki wabichi kutoka Tanga au Dar, kama. kuna mtu anaweza kuwa supplier wangu PM yako ni muhimu, nipo Dom
Ushauri kwenu wadau tusio na ajira ni tusikate tamaa kwasababu wengine wanafikiria hata kujiua, iko siku tutafanikiwa kwa uwezo wa MOLA