Stop being a shallow thinker basing your life on a dream of getting employed.
Have a plan B and C in any event lest you get disappointed in the advent of failure of plan A.
Are you employed or self employed? I do have a plan B, try again to re-read my thread then you will realize how silly your comment is,
We are also great thinkers
Premier betting ndio habari ya mjini,wengi tumeajiriwa na epl na ligi nyinginezo,
Stop being a shallow thinker basing your life on a dream of getting employed.
Have a plan B and C in any event lest you get disappointed in the advent of failure of plan A.
Kada ya wasomi kama wewe itakapoingia kwenye biashara kutakuwa na tija na ufanisi zaidi na pia hatutaona migomo isiyo na tija kama hii ya EFDs.
But kuwa muangalifu na aina ya biashara unataka kufanya na pia fanya research za kutosha, especially biashara yenye risk kubwa kama ya PERISHABLE goods. Samaki mkuu akioza mmoja wote wameoza na mtaji wenyewe huo wa kusotea ni noma. Fanya research ya kutosha kabla ya kuimplement your business idea
vema walau umewatia moyo vijana wote ambao bado hawajabahatika kupata ajira kama wewe
Lakini hata hivyo mi naamini huko kwenye biashara utafanya vizuri kikubwa tu ni kutokufanya biashara kwa mazoea fanya biashara kwa malengo na umahiri wa hali ya juu
KUMBUKA one day yes..!!
You are so wrong man, you know what, you are trying to put everyone in your shoes, if your size is 30 mine is 10, I will never fit,