Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,543
- 5,754
Nimeshangaa sana, kwani nimejaribu kusearch timu kibao za ndani na nje, ila kila nikisearch Yanga ili nitazame rates wanazompa King Mayele naona wanasema no suggestions.
Hii ina maana gani wakuu wangu? Sasa ntapata wapi rates za king mayele jamani?.
Ina maana hata Mtibwa wanajulikana na Fotmob, ila timu ya sisi Wananchi haipo? Hawa Fotmob ni Simba tu hawa kama CAF tu. Ni hujumaaaaa!
Hii ina maana gani wakuu wangu? Sasa ntapata wapi rates za king mayele jamani?.
Ina maana hata Mtibwa wanajulikana na Fotmob, ila timu ya sisi Wananchi haipo? Hawa Fotmob ni Simba tu hawa kama CAF tu. Ni hujumaaaaa!