Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 875
Cheza na Tiny wewe?
Soma hii:
Agreement with Lonrho
Agreement has been announced between the Tanzanian Government and the multi-national firm Lonrho over the compensation to be paid for the Lonrho assets in Tanzania, which were nationalised in 1976.
Source: Tanzanian Affairs » DIGEST OF TANZANIAN NEWS
Wakuu,
I have totally failed to understand how can a public servant of his level end up being a Board Chairman of a private company. Is it that he was favouring them (Barick Gold) that is why they decided to thank him with Board Chairmanship?
Tanzania kila kitu kinawezakana. Kuna wakati, spika wa bunge aliwahi kuwa board chairman wa kampuni fulani...itakuwa huyo mstaafu? Watu walivyojaribu kuuliza kulikoni wakaambiwa ati wana "wivu wa kike"!
Kwa hiyo unamaanisha Symbion walimhonga hadi Mwanakijiji
Nyerere alijaribu kumgusa mtu anaitwa Tiny Rowlands alikuwa mmiliki wa shirika likiitwa LONRHO. Ulimshinda huo mfupa.
Usicheze na haya mashirika makubwa yanayochangia kwa kiasi kikubwa bajeti za nchi zao, utaumia, ukipenda usipende.
Uliona Symbion ilvyochukuwa mitambo ya Dowans alikuja nani kuitembelea hiyo mitambo? jiulize, ilihusu nini? halafu jiulize tena Mzee Mwanakijiji alikuwa mstari wa mbele kuiponda Dowans, ulimsikia akinyanyua sauti kwa Symbion? na mitambo ndio hiyo hiyo, jiulize kwanini? Hata upinzani hawakuitaja tena.
Cheza na mwenye mali usicheze na mali zake.
Under CCM everything is possible only in Tanzania!!!
Tunajua kuna vigogo wengi wa CCM wana shares(hisa) kwenye makampuni ya kigeni a.k.a Wawekezaji. Hizo shares huwa aidha wanapewa bure au wanalipiwa na Makampuni husika. Pius Msekwa ni mmojawapo ya wanufaikaji wa Makampuni ya Mawasiliano-Vodacom ambako naye alikuwa Mwenyekiti wa Bodi wakti akiwa Supuka wa Bunge. Bwana Ole Naiko alikuwa Mkurugenzi wa TIC wanayoiiita mlango wa Wawekezaji Tanzania. Kwa hiyo Makampuni mengi yaliyoingia Tanzania uwekeza kwenye Mawasiliano na Uchimbaji wa Madini waliwezeshwa na Bwana Emmanuel Ole Naiko.
Kwa hiyo ,kinachoonekana hapa ni FADHILA kwa Bwana Ole Naiko. Mind you hii ni nje ya VILE VIJISENTI VILIVYOKO KULE UGHAIBUNI almaarufu kama OFFSHORE ACCOUNTS!
Watanzania kazi mbona tunayo!!!
Wakuu,
I have totally failed to understand how can a public servant of his level end up being a Board Chairman of a private company. Is it that he was favouring them (Barick Gold) that is why they decided to thank him with Board Chairmanship?
Acheni wivu wa kijinga. Huyu jamaa kastaafu serikalini sasa katafuta ajira binafsi ingekua wewe sawa lakini mwenzako inakuuma. Kwanza hujasoma pili hata ukiitwa kwenye usaili atakupita tu. Tujadili mambo ya maendeleo
Wakuu,
I have totally failed to understand how can a public servant of his level end up being a Board Chairman of a private company. Is it that he was favouring them (Barick Gold) that is why they decided to thank him with Board Chairmanship?
Nimemuona leo kwenye Luninga,ni mwenyekiti wa bodi ya Africa Barick Gold mines.
Hisa hizo zimeuzwa lini na amenunua kiasi gani mpaka kuwa mwenyekiti?
Msekwa nae aliwahi kuwa wa Vodacom tukauliza na hatukupata majibu sasa aliyekuwa mkuu wa kittuo cha uwekezaji baada tu ya kustaafu tayari yuko kwa wawekezaji, napata mashaka.