Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,215
- 3,587
Alilaumiwa kama State Attorney General kuweka mazingira ya assassinations kuzidi nchini.Aaaaaaa 😆😆😆huyu bwana alimpa hard time sana mzee Moi kipindi akiwa Rais, na alikuwa na dharau mingi sana na alikuwa ni mtu wa msimamo sana.
Na alikuwa na mategemeo kuwa akifa Jomo Kenyata basi yeye ndo angekuwa mrithi wake badala ya Moi kwasababu Njonjo alikuwa ni Mkikuyu msomi lakini lakini mzee Kenyata akawa karibu na kumuamini sana mzee Moi, siku zote watawala hupenda watu wasiokuwa na uwezo na profile ya kutisha kuwa manaibu wao.
Kwa msimamo wake Charles Njojo kuna kipindi aliwagomea wazungu kusoma kitu ambacho a