Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Wakuu kuna mdogo wangu ana four ya 27 amemaliza mwaka 2021. Je anaweza kwwnda course za afya? Yani certificate ya either nursing, clinical officer au Dental?
 
Mimi binti yangu kapata div one ya 14 combination ya science naomba ushauri Kuna wanaonishauri aombe vyuo ili apige diploma ya clinical alafu baadaye akipata ajira apply degree ya medicine au engineering hivyo hivyo na kunawengine wananiambia nimuache aende five na six ila kunakutoil Sana kwenye science hivyo anaweza anguka akawa amewest time ni bora vyuo hebu nishaurini which is the best option
 
Chuo ni chaguo bora zaidi
 
Mpeleke akasome Radiology au Dental...C.O now majanga Ila Kama ana ndoto za kua MD na wewe mzazi una uwezo mpeleke shule nzuri akapige one kali 3-6 aende moja kwa moja MD kupitia form 6 Ila C.O kwa sasa ni risk kubwa kutokana na uchache wa nafasi kwenda MD na kukamiwa anaweza jikuta anatumia zaidi ya miaka 3 kuipata.
 
Akisoma hizo kozi hata juta na kazi kupata fasta kwa sababu wanahitajika Sana na ni wachache.
 
Ndugu zangu naomba msaada wenu,mimi nilifanya mtihani wa form four(QT) mwaka 2009 na kupata division four ya point 27.Je ni kozi gani nzuri ya biahara naweza kusoma kwa ngazi ya certificate na baadae diploma,nisaidien ndugu zangu.
B/MATH C
GEOGRAPHY C
HISTORY D
KISWAHILI D
ENGLISH D
CIVICS D
BIOLOGY F


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Fafanua mkuu,,ni kwamba una biashara unataka ujindeleze kielimu au hauna biashara Ila unataka kuanza kusoma kozi ya biashara ili uajiriwe au ifanye baishara.

NB samahani kwa maswali yangu nimeuliza hivyo kwa sababu ya umri wako pia maana 2009 sio mchezo
 
Agonge chuo tu.
 
Nina biashara nataka kujiendeleza kielimu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Miaka inaenda kasi sana, yaan enzi hizo unamaliza zako COTC Kibaha mtwara, kilosa, Lindi, mvumi, sengerema au lugalo ..unasubiri jina kuona umepangiwa wapi. Ila zilovyoanza tu sijui city college of health, sijui KAM na ujinga mwingine kama huo..ikawa kozi ya kipuuzi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…