.....Forgiveness

...Mheshimiwa BaK.

Mimi nakwazika na jambo moja. Ukishamsamehe then what?
Nasumbuka sana mtu anaomba msamaha halafu analazimisha mrudiane.
I prefer kumsamehe mtu kimoyo moyo.

Wengine ni wasumbufu sana bana.
 
Thanks BAK... i take this thread as your Easter wishes kwa wote wa MMU

I couldnt agree with you more, once you forgive, everything goes to the backyard, and all that remains ni pale unapovisit backyard mara mojamoja... Mimi nilikua mhanga wa kubaki na vinyongo and they did me too much harm, i began even to hate myself, but i met one counselor alinisaidia sana and since then i forgive and keep the memories as lessons learnt... if they are still there

But i have also learnt one good thing today, ignoring those pains and painful people, i think i might have done it unknowingly, thinking that i have forgiven them --- I THINK IT IS A GREATER FEELING IGNORING SOME AS PLEASURE YOU GET IS BETTER AND MORE SENSATIONAL

HAHAHAAAAAA... FORGIVE, IGNORE BUT DONT FORGET

I WILL TOSS THIS ONE TODAY WHEN I START MY BLACK LABEL ON THE ROCKS
 
Nadhani siwezi kusamehe! kwani, Nikisamehe naambiwa sijasamehe...... simply sababu siwezi kusahau :hat:
 
...Mheshimiwa BaK.

Mimi nakwazika na jambo moja. Ukishamsamehe then what?
Nasumbuka sana mtu anaomba msamaha halafu analazimisha mrudiane.
I prefer kumsamehe mtu kimoyo moyo.

Wengine ni wasumbufu sana bana.
Mkuu nadhani ikifikia ya kurdiarudia then hapo hapakua na msamaha genuine and probably you might even recall msamaha uliotoa

Nadhani ndio maana msamaha mzuri ni ule wa vitendo na if it is someone you can avoid to meet frequently, then do so... but if it is your lover, I LINE MAY NEED TO BE DRAWN
 
...Mheshimiwa BaK.

Mimi nakwazika na jambo moja. Ukishamsamehe then what?
Nasumbuka sana mtu anaomba msamaha halafu analazimisha mrudiane.
I prefer kumsamehe mtu kimoyo moyo.

Wengine ni wasumbufu sana bana.

Mbu, unapoamua kusamehe yale uliyotendwa na kukuudhi kupita kiasi au kukukosesha raha kupita kiasi haina maana kwamba baada ya kusamehe ni lazima mrudiane. Unapoamua kusamehe hata kama hutaki tena kurudiana basi kila mmoja anaendelea kivyake vyake na maisha yake na mnaweza kuamua kubaki marafiki ili mnapokutana angalau msipitane kama maadui na hivyo kuweza kusalimiana kama watu ambao mliwahi kufahamiana kwa karibu kabisa.
 
Mbu, unapoamua kusamehe yale uliyotendwa na kukuudhi kupita kiasi au kukukosesha raha kupita kiasi haina maana kwamba baada ya kusamehe ni lazima mrudiane. Unapoamua kusamehe hata kama hutaki tena kurudiana basi kila mmoja anaendelea kivyake vyake na maisha yake na mnaweza kuamua kubaki marafiki ili mnapokutana angalau msipitane kama maadui na hivyo kuweza kusalimiana kama watu ambao mliwahi kufahamiana kwa karibu kabisa.

...bro, my point is;
'Mtenda' anakwambia Kama hutaki kurudiana nae basi bado hujamsamehe.
Unaombwa msamaha kwa Conditions maalum (mrudiane!) Utasamehe vipi?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
...bro, my point is;
'Mtenda' anakwambia Kama hutaki kurudiana nae basi bado hujamsamehe.
Unaombwa msamaha kwa Conditions maalum (mrudiane!) Utasamehe vipi?

Msamaha hauna conditions kwa anayeomba wala kutoa huo msamaha...vinginevyo hautakuwa wa dhati bali kukidhi tu mahitaji fulani!!
 
...bro, my point is;
'Mtenda' anakwambia Kama hutaki kurudiana nae basi bado hujamsamehe.
Unaombwa msamaha kwa Conditions maalum (mrudiane!) Utasamehe vipi?
Mbu we unaonekana mpole sana
 
Pole sana BJ...hakuna mabaya yasiyo na mwisho. Kusahau kusema kweli ni vigumu mno! lakini unaweza kujitahidi kusamehe ili kujinusuru na maumivu/machungu makubwa yanayosababishwa na yote yaliyotokea.

Thanx BAK..kusamehe kunarudisha amani ya moyo na kusonga mbele bila kinyongo.


Huwezi kusahau kwa sababu memory ni kazi ya ubongo, unless kama haufanyi kazi yake vizuri. Kwa kweli kusahau ni ngumu kama siyo haiwezekani kabisa.

Veri gud point Big House!!...tuache ubongo ufanye kazi yake ilhali tumeshasamehe na kuendelea na maisha bila chuki ya kukosewa!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
...bro, my point is;
'Mtenda' anakwambia Kama hutaki kurudiana nae basi bado hujamsamehe.
Unaombwa msamaha kwa Conditions maalum (mrudiane!) Utasamehe vipi?

Mhhhh! Hapo pagumu sana especially kama umeshaamua kusonga mbele na maisha yako kivyakovyako na hutaki tena kusikia hiyo habari ya kurudiana, lakini pamoja na kuwa hutaki kurudiana kwa maoni yangu bado unaweza kusamehe yale uliyotendwa.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
...dah,...BaK maisha yanatufunza kosa sio kosa bali kulirudia kosa.
Yaani, mtu akiwa amekukosea msamehe tu kwani hakujua alifanyalo.

Je? Anaporudia mara ya pili, ukasamehe...
mara ya tatu, ukasamehe,...
mara ya nne, na ya tano...hilo bado ni kosa tu?

Hapana. Hiyo ni dharau. Mtu anaponidharau siwezi ita ni kosa.
Ni makusudi. I don't tolerate that man! Najua thamani yangu bana.

Hebu nipeni neno jingine tofauti na kusamehe.
 
...dah,...BaK maisha yanatufunza kosa sio kosa bali kulirudia kosa.
Yaani, mtu akiwa amekukosea msamehe tu kwani hakujua alifanyalo.

Je? Anaporudia mara ya pili, ukasamehe...
mara ya tatu, ukasamehe,...
mara ya nne, na ya tano...hilo bado ni kosa tu?

Hapana. Hiyo ni dharau. Mtu anaponidharau siwezi ita ni kosa.
Ni makusudi. I don't tolerate that man! Najua thamani yangu bana.

Hebu nipeni neno jingine tofauti na kusamehe.


Sikujua kama MSAMAHA unaweza kuwa mgumu kiasi hiki..
nafikiri kama kweli umesamehe kutoka moyoni, huitaji kujua amekukosea mara ngapi..Huu mfano ulioutoa ni sawa kabisa na ule alioutoa Yesu..baada ya kuulizwa na mtu kwamba amsamehe ndugu yake hadi mara ngapi..akamwambia saba mara sabini na saba
 
  • Thanks
Reactions: BAK
i have managed to forgive.....i have failed to forget most of the things....it hurts me when i remember.....its complicated...!!!

Michelle, if it hurts when you remember about the past it means you haven't managed to forgive that person.
 
Sikujua kama MSAMAHA unaweza kuwa mgumu kiasi hiki..
nafikiri kama kweli umesamehe kutoka moyoni, huitaji kujua amekukosea mara ngapi..Huu mfano ulioutoa ni sawa kabisa na ule alioutoa Yesu..baada ya kuulizwa na mtu kwamba amsamehe ndugu yake hadi mara ngapi..akamwambia saba mara sabini

...mpendwa, I hate this lakini naamini my character ina fall kwenye hii category 'nyekundu' hapa chini;

The stupid neither forgive nor forget; the naïve forgive and forget; the wise forgive but do not forget. kwa hiyo uko sawa mamii sio lazima kusahau kabisa

...halafu, mara nyingi kosa linapojirudia na upoombwa msamaha, mtenda anakwambia eti "usihesabu makosa, yaonyesha hukunisamehe awali" ...CRAP! Yaani kwakuwa nilisamehe awali ndio tiketi ya kurudia makosa?
Well, mambo ya kufanywa 'Door-mat' yana kiwango chake. Should've learnt better how to remove the shoes before walking kwa kichwa changu!

Well, this issue is very sensitive to me. Acha niwe msomaji tu kwanza.
Bado na 'raw wounds.'
 
...bro, my point is;
'Mtenda' anakwambia Kama hutaki kurudiana nae basi bado hujamsamehe.
Unaombwa msamaha kwa Conditions maalum (mrudiane!) Utasamehe vipi?
aaahhhh Mbu, mkuu mwenzangu, then mtu wa namna hiyo hajui mapenzi ya kweli wala maana ya msamaha, huyo ni selfish tu!!! yaani anaweka conditions tena?
 
Mbu, unapoamua kusamehe yale uliyotendwa na kukuudhi kupita kiasi au kukukosesha raha kupita kiasi haina maana kwamba baada ya kusamehe ni lazima mrudiane. Unapoamua kusamehe hata kama hutaki tena kurudiana basi kila mmoja anaendelea kivyake vyake na maisha yake na mnaweza kuamua kubaki marafiki ili mnapokutana angalau msipitane kama maadui na hivyo kuweza kusalimiana kama watu ambao mliwahi kufahamiana kwa karibu kabisa.

BAK... it doesnt work this way for selfish and egocentrics, to them it is always what they want, kuanzia penzi, tendo, msamaha, kurudiana, kurudia kosa etc.... you name it

But books and stats all point at them as psychos and disordered people who in most cases live their lives without seeking medical advice
 
...mpendwa, I hate this lakini naamini my character ina fall kwenye hii category 'nyekundu' hapa chini;



...halafu, mara nyingi kosa linapojirudia na upoombwa msamaha, mtenda anakwambia eti "usihesabu makosa, yaonyesha hukunisamehe awali" ...CRAP! Yaani kwakuwa nilisamehe awali ndio tiketi ya kurudia makosa?
Well, mambo ya kunifanya 'Door-mat' yana kiwango chake. Should've learnt better how to remove the shoes before walking kwa kichwa changu!

Well, this issue is very sensitive to me. Acha niwe msomaji tu kwanza.
Bado na 'raw wounds.'

It is not that I have written that without any deep consideration or so..It may seem religious, but l have been there and I hope I may find myself again in the same or similara circumstance in the future..
But, If you can't forgive, you are building your own cell (prison).

The essence of forgiveness is to set us ( who are hurt) free..jaribu
 
...mpendwa, I hate this lakini naamini my character ina fall kwenye hii category 'nyekundu' hapa chini;



...halafu, mara nyingi kosa linapojirudia na upoombwa msamaha, mtenda anakwambia eti "usihesabu makosa, yaonyesha hukunisamehe awali" ...CRAP! Yaani kwakuwa nilisamehe awali ndio tiketi ya kurudia makosa?
Well, mambo ya kufanywa 'Door-mat' yana kiwango chake. Should've learnt better how to remove the shoes before walking kwa kichwa changu!

Well, this issue is very sensitive to me. Acha niwe msomaji tu kwanza.
Bado na 'raw wounds.'
To forgive is the highest, most beautiful form of love. In return, you will receive untold peace and happiness.
 
...dah,...BaK maisha yanatufunza kosa sio kosa bali kulirudia kosa.
Yaani, mtu akiwa amekukosea msamehe tu kwani hakujua alifanyalo.

Je? Anaporudia mara ya pili, ukasamehe...
mara ya tatu, ukasamehe,...
mara ya nne, na ya tano...hilo bado ni kosa tu?

Hapana. Hiyo ni dharau. Mtu anaponidharau siwezi ita ni kosa.
Ni makusudi. I don't tolerate that man! Najua thamani yangu bana.

Hebu nipeni neno jingine tofauti na kusamehe.
hiyo dharau sasa
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

Similar Discussions

Back
Top Bottom