Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,156
- 27,155
Dah Kila mtu apambane na Hali yake.
Sasa Mimi nitoe wapi hiyo withdraw wakati sio mhusika wa hiyo wallet?
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Dah Kila mtu apambane na Hali yake.
Sasa Mimi nitoe wapi hiyo withdraw wakati sio mhusika wa hiyo wallet?
Ingia tu ila bila elimu ya kutosha ukitoboa niite mbwa niko hapa
🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo methali au nahau,,,Akichakazwa Aje Alete Ushuhuda Chap Chap
Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni
Weka hela, acha kuuliza sana maswali utachelewa kutoboaNi kitu ambacho nimekua nakiona sana saivi na naona watu wengi wakitamba mitandaoni kwamba wanapiga hela ya kutosha Forex. Mtu anatengeneza mpaka milioni 3 za kitanzania kwa siku. Kiukweli nimeshawishika kuingiza mguu kwenye hii biashara japo ni jambo ambalo nitatakiwa kua mvumilivu kwa muda mrefu katika kujifunza.
Sasa wasiwasi wangu ni kitu kimoja tu, hii kitu ni Real au tunadanganywa tu. Maana nje ya mitandao sijawai kukutana na mtu anapiga mpunga Forex
No surprise that new traders will likely encounter the fear of the unknown because the picture is painted bright and rosy, till reality sinks in.Ni kitu ambacho nimekua nakiona sana saivi na naona watu wengi wakitamba mitandaoni kwamba wanapiga hela ya kutosha Forex. Mtu anatengeneza mpaka milioni 3 za kitanzania kwa siku. Kiukweli nimeshawishika kuingiza mguu kwenye hii biashara japo ni jambo ambalo nitatakiwa kua mvumilivu kwa muda mrefu katika kujifunza.
Sasa wasiwasi wangu ni kitu kimoja tu, hii kitu ni Real au tunadanganywa tu. Maana nje ya mitandao sijawai kukutana na mtu anapiga mpunga Forex
njoo dm nikupe link namaelezo kuhusu. money cashback bure itakusaidia kama ukiwa seriousHiyo money cash back ikoje mkuu hebu share plz tuone tunawezaje kuchukua fursa kama ipo
Mbona kawaida tu mkuu, 450usd is not a big dealWewe ulisha wahi shuhudia meseji ya muamala mtu katoa hata usd450 kwa mkupuo?
Hapo umetembea na full margin, lazima upate gut knotIn a matter of blink an eye not 10m mkuu ama sekunde tano ama moja kitu kimeyeyuka
sio free bonus kweli...njoo dm nikupe link namaelezo kuhusu. money cashback bure itakusaidia kama ukiwa serious
Hapo kwenye ICT ndiyo penyewe,kujifunza jinsi Central Banks wanavyotumia algorithm katika ku-deliver price,ku-provide liquidity na jinsi ya ku-capitalize kwenye liquidity ambayo imekuwa provided.Mungu bariki sana tumbo lililomzaa Mr.Michael Huddleston🤗🤗🤗Katika kozi kabla ya kusoma hakikisha unamuuliza course content before kulipia contents nzuri kwa uzoefu wangu zinachezaa na haya yafutavyo;
# market structure
#ICT
#BTMM
#SMC, SMART MONEY CONCEPTS
# QUARTERLY THEORY.
# INVALIDATION POINTS OR TURNING POINT.
# LIQUIDITY GRAB
Na mengine mengi wanasoma.
hapana ni pesa watumiwa skrill ukiwa wa kwanza hadi wa sita mwenye kukuza dola elf tano. hadi kiwango chajuu zaidi ua washiriki wote with lessdraw down of 30pcntsio free bonus kweli...
mtu akihitaji kujiunga Kwenye hiyo challenge anafanyaje mkuuhapana ni pesa watumiwa skrill ukiwa wa kwanza hadi wa sita mwenye kukuza dola elf tano. hadi kiwango chajuu zaidi ua washiriki wote with lessdraw down of 30pcnt
Kaka inakuwaje hii?njoo dm nikupe link namaelezo kuhusu. money cashback bure itakusaidia kama ukiwa serious
njoo pm hapa link nikiweka wanazuiaKaka inakuwaje hii?
njoo pm nikiweka link hapa wanazinguwa nikupe na maelezo muhimumtu akihitaji kujiunga Kwenye hiyo challenge anafanyaje mkuu
Ukitaka biashara za kutabiri, tabiri mpira wa miguu.Ni kitu ambacho nimekua nakiona sana saivi na naona watu wengi wakitamba mitandaoni kwamba wanapiga hela ya kutosha Forex. Mtu anatengeneza mpaka milioni 3 za kitanzania kwa siku. Kiukweli nimeshawishika kuingiza mguu kwenye hii biashara japo ni jambo ambalo nitatakiwa kua mvumilivu kwa muda mrefu katika kujifunza.
Sasa wasiwasi wangu ni kitu kimoja tu, hii kitu ni Real au tunadanganywa tu. Maana nje ya mitandao sijawai kukutana na mtu anapiga mpunga Forex