Forex imenifilisi, naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji huu

Baasi nikatafuta rafiki yangu alikuwa anauza karoti ilala boma kwenye meza najua wenyeji wapale wanaelewa vizuri nikwamwabia anitafutie eneo kweli akaniambia per day meza unalipia 1000 na ushuru sasa mwenye meza anataka 60k ya miezi miwili nikasema poah ,nikampatia jamaa yangu pesa .
Broo naomba msaada kuhusu hii biashara, maelekezo pliz
 
Back
Top Bottom