Richard Kasubi
Member
- Sep 16, 2018
- 15
- 13
Una machozi ya Kambare lakini..?Naomba nielekezwe namna ya kufanya forex, naona jamaa imemtoa anailaumu bure
Una machozi ya Kambare lakini..?Naomba nielekezwe namna ya kufanya forex, naona jamaa imemtoa anailaumu bure
Broo naomba msaada kuhusu hii biashara, maelekezo plizBaasi nikatafuta rafiki yangu alikuwa anauza karoti ilala boma kwenye meza najua wenyeji wapale wanaelewa vizuri nikwamwabia anitafutie eneo kweli akaniambia per day meza unalipia 1000 na ushuru sasa mwenye meza anataka 60k ya miezi miwili nikasema poah ,nikampatia jamaa yangu pesa .