hizi porojo za kutajirika Kwa kuuza dawa asili ni hatari...wanajua sana jinsi ya kushawishi ukiudhuria seminar zao,makofi mengi mengi...mnaambiwa kujiunga uanachama Kwa zaidi ya laki nne,alafu utaanza kulipwa ukileta mtu ajiunge kwako,kama mnyororo wanaita...hapa ndipo huwa sijaelewa hawa jamaa,wanakwambia ukishalipia hiyo pesa ya kujiunga,unapewa kifurushi cha dawa zote zilizopo,in reality unakuwa umeuziwa dawa Kwa Na wewe kuwa mwanachama mojakwamoja.uhondo unakuja wanakwambia wakijiunga watu watano chini yako,unalipwa ten percent ya pesa walizotoa kujiunga.inakujaje wakati nao watakuwa wameuziwa dawa ili wawe wanachama!!!hapo ndipo utapeli unaanzia...