Kobaaz hongereni. Ila wagalatia tumeshikilia dunia.Waislamu wako juu, kama kifuu!
Big up sana kwao, hawapendi mali haramu. Allah awabariki
Kwani wewe na tajiri Bill lugano a.k.a kiduku liko nani mwenye mpunga zaidi
kwa sauti kubwa kabisa MIMI NI MPAGANI.Mbona kama nusu kwa nusu,alafu hacha udini Mungu mtoa riziki ni mmoja,pili wewe ukoje kimaisha ikiwa nawe no muislam na mwisho ukiomba orodha ya matajiri Duniani usipowaona utabadilisha dini yako au?
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Acha ujinga hao ni waarabu na wahindi. Watu weusi wa East Afrika hawawezi kuwa, matajiri wanawaza, mapenzi tu.waislamu hongereni kweli naamini hakuna muislam maskin
Wacha niongeze wangu ili mabeberu tuwaonyeshe shoo.
19- Bill Lugano $1b
20- Civilian Coin $998m
21- Salary Slip $ 900
22- mr bann $854m
22- EliCohen $700m
Hata hivyo ni mgalatia aliko ,ndo boss wao wote!! kobazi bado sanaDah kwenye iyo list kobaaz wako 11, sisi wagalatia wanne tu. Kobaaz wanachanja mbuga tu.
Dangote ni muislam. Anaitwa Alhaj Aliko Dangote. Mzaliwa wa kaskazini mwa nigeria kabila Hausa. Jamaa ni Kobaaz inauma sana aiseeHata hivyo ni mgalatia aliko ,ndo boss wao wote!! kobazi bado sana
Daah 😂😂😂😂Dah kwenye iyo list kobaaz wako 11, sisi wagalatia wanne tu. Kobaaz wanachanja mbuga tu.
Aliko Tanzania ni mkristo ila huko magharibi jina la kiislamu..Hata hivyo ni mgalatia aliko ,ndo boss wao wote!! kobazi bado sana
Hao ni biashara tuu Azam ni shida nyingine ile..analisha juice zake Malawi, Zim mpaka msumbiji hicho king'amuzi huko kuna maagent harafu kashusha bei sio kama Tanzania vile vile ananunua baadhi ya vyakula huko huyo Azam nadhani hataki kuingia kwenye hizo mambo za Forbes...Huwa siamin km mo anakampuni inayoizid ukubwa azam media
Bakhresa anatamba na chapati na juice bongo tu, Mo no afrika nzima na biashara zake kubwa kubwaHuwa siamin km mo anakampuni inayoizid ukubwa azam media
Biashara gani kubwa za moBakhresa anatamba na chapati na juice bongo tu, Mo no afrika nzima na biashara zake kubwa kubwa
Biashara kubwa km ip?????Bakhresa anatamba na chapati na juice bongo tu, Mo no afrika nzima na biashara zake kubwa kubwa