Itzmusacmb
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 1,531
- 1,132
Gazeti la Forbes limemtangaza Mo Dewji kuwa anayeongoza kama Bilionea Africa Mashariki.
Karibu
Trillion 12 za USh?Nimeona wameandika ana Trillion 3.something..
Nadhani hawakumsikia yule mwanaume aliyesema mahakamani kuwa Standard chartered walimtapeli Trillion 12..
Na ukiona mtu katapeliwa milioni moja ujue ana nyingi zaidi ya hiyo. So kama alitapeliwa Trillion 12 unadhani alikuwa na shingapi.??
He faces no competition from ujamaa diehards.how an DLC to have the only billionaire in the region? mido inkamu tunaomba MAJIBU.
Sasa uturuki wameshika pia meli yenu due to explosives, what's up with Tanzanian registered ships
Duh! Hata huyo Tundu Lissu tumuombee asijekamatwa kule UbelgijiMara ndege bombandia imekamatwa, mara meli imekamatwa.
Tzs(Tsh) Mkuu..Trillion 12 za USh?
Kwenye meli hapo kuna mchezo tutakuwa tunachezewa nahisi, watanzania hawajafikia kiwango hicho cha kufanya uhalifu kila siku tena kwa kutumia meli.Mara ndege bombandia imekamatwa, mara meli imekamatwa.
Hata idadi ya wajasiliamali vijana tunaongoza hapa East africa na central.how an DLC to have the only billionaire in the region? mido inkamu tunaomba MAJIBU.
He faces no competition from ujamaa diehards.
How comes you are not in the MIC status if at all your statement above is true?I was thinking competition influences efficiency. For you nyang'au means, pulling one another down.
UAE donates 150 tonnes of food for the hungry in drought-stricken areasHow comes you are not in the MIC status if at all your statement above is true?