Haitawezekana unavyofikiri, kwanza I.P ya sender wanaijua sasatel wenyewe. I.P ya receiver probably ni I.P ya Google au ya Yahoo haitakusaidia kitu.
Mwisho Sasatel hawawezi kuwa na I.P ya receiver unless wanarecodi traffic yote inayopita kwenye network yao, yaani bit zote wanazisave, kitu sio tu ambacho ni impractical lakini propably illegal pia. Not to mention baadhi ya email ziko encrypted start to end (Gmail) kwa hiyo hakuna data utakayopata hata ukirekodi traffic.
Kama mwizi anatumia namba ya Sasatel kufanya mawasiliano basi Sasatel ndo wantakiwa wawe na rekodi ya namba ni ya nani, namba zote si zimesajiliwa?