mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 473
- 1,448
Nina wadogo zangu wamemaliza form six masomo ya art nashindwa kuwashauri course za kusoma kwa sasa , maana karibu kila degree ya art ajira imekuwa ngumu
Art Ina masomo mengi na inategemea marks walizopataNina wadogo zangu wamemaliza form six masomo ya art nashindwa kuwashauri course za kusoma kwa sasa , maana karibu kila degree ya art ajira imekuwa ngumu