For Serious Discussants Only: How Do We Address the Following Challenges?

Mheshimiwa, mbona solution zipo wazi ila wote tumevaa miwani ya mbao (japo spika wako hapendi hii kauli, au sijui alisahau kama ni nahau!)kuziona hizo solutions? Kuna vitu ambavyo hata nyie wenyewe bungeni mnaviona havifai lakini kwa kauli nzito mnapitisha bajeti zake. Mkulima anashindwa kufikisha mazao yake sokoni kwa ubovu wa barabara, lakini nyie mmeelekeza nguvu kwenye barabara za miji mikuu. Mnaongeza nguvu kwenye maendeleo ya miji mikuu, ili hali ile ya pembezoni mkiiacha yatima. Fedha nyingi sana zinatumika isivyo na watendaji tuliowaweka madarakani, bila kusahau mafungu yanayojitengea kuja kuwasilisha bajeti zao! Hii yote ni diversion ya funds ambazo zingetumika kwa maendeleo yetu wenyewe! Ndani ya yote haya utawala wa sheria ndio umefeli kabisa, wamebaki wanahamishiwa sehemu nyingine ili wakaharibu zaidi. Tunapiga kelele na kilimo kwanza, do we really mean it? Sekta ya kilimo ingepewa kipaumbele kama mnavyopiga makelele majukwaani mbona tungekuwa mbali? Asilimia kubwa ya waTZ siyo wafanyakazi, tena nafikiri tungeanza kusema kuwa nchi yetu inaundwa na wakulima, wafanyakazi na wasio na kazi. Asilimia kubwa ya wasio na kazi ingeweza kutupwa kwenye sekta ya kilimo, kama tungeamua kwa nia ya dhati kukipa kipaumbele, kilimo siyo lazima mahindi tu, na mboga mboga nacho ni kilimo ambacho soko lake ni zuri tu. Lakini je, yule kijana aliyeko barabarani kama mmachinga, anaweza kuwa transformed kuingia huku? Lile dirisha lenu la TIB linaweza kum-support? Thubutu! Anayekuwa supported huku tayari ana range rover!

Mkuu, kwa ufupi ungemwambia tu kwamba tunashindwa katika hayo yote kwa sababu hatuna vipaumbele. Kama unaweza kwa mfano kukomaa na kujenga daraja la kigamboni kwa mabilioni ya shilingi wakati reli zetu (hasa hii ya kati) ziko taabani basi tuna tatizo kubwa sana ambalo hasa hasa liko kwenye uongozi ambao yeye mleta mada hataki tuubadilishe kama sehemu ya ufumbuzi wa matatizo.
 
Mh. HKigwangalla, heshima;

Miaka ile tulifundishwa kwamba ili nchi iendelee inahitaji vitu vinne: ardhi, watu, siasa safi, na uongozi bora. Hayo mawili ya kwanza sina wasiwasi nayo; yapo tele. Hilo la tatu linategemea la nne. Kwa mtazamo huo, KIINI CHA TATIZO ni uongozi bora na ni karibu katika kila nyanja ya taifa letu.

Hivyo, badala ya kujadili visivyoeleweka (ambalo ni lengo hasa la mleta mada ili ku-divert attention kwa sababu anazozijua) kiini cha tatizo kiko wazi - UONGOZI BORA.

Tafadhali zingatia: Serikali iliyoko madarakani ni ya CCM; sera zinazotekelezwa ni za CCM. Tuanzie hapo kwenye uongozi bora unless utuambie falsafa hizo za CCM sio validi tena miaka hii au ziliondoka na walioziasisi.

Nakala: scramble, Ritz
 
Last edited by a moderator:
Dear Kingwalala,

You have mentioned some of the problems we're facing now in the country. My first observation is that, 75% of the aforementioned problems/challenges are social problems (illiteracy, diseases, food insecurity, poverty, poor mindset unemployment etc). Therefore, basing on your statement 75% of challenges in the country are social problems, only 25% are economic and political.

Personally, as an MP, you are in a good position to create doors for youths in your constituency. How many have you created so far?
About food insecurity - I have worked in agricultural sector for the last 3 years - both in large scale commercial farming and small holders farming. Kilimo kwanza is just a political slogan. Since its adoption in 2009/10, less than 20% of farmers in the country could say that Kilimo Kwanza have helped them. AS for now, it is easy to get a coca-cola soda or Azam cola in Idegenda village (Kilolo district- Iringa) than improved seeds varieties and fertilizers. 90% of farmers in Tanzania live in rural areas while agro input dealers and suppliers are in towns. That being a case, rural farmers are not getting full support from the government. Let's change kilomo kwanza from political slogan to practicable theory. Train our farmers on proper use of fertilizers, improved seeds and pesticides. Create competitive market for crops produced in the country.

Illiteracy - the steps we made in a couple of years ago to minimize illiteracy rate in our country are no longer viable. We have politicised our education system in a way that even form 4 leavers can't write his name. We need to get our teachers morale up again. Give them what they deserve economically. Education system should be free from polictical interferences.
Unemployment - Let's stop immigration of labour for the activities which can be done by Tanzanians. How come Chinese are street vendors in Kariakoo? Do we need an American accountant in investors' companies? Our education system is purely based on theories, little with practica. That being a case, self employment is a problem to most youths in Tanzania. We need to change our education system, change our labour immigration policies.

That is enough to share with you and other colleagues in the forum.
Best,
Fredito
 
Hili bandiko una mpango wa kulipeleka kwenye journals za nje ya nchi au?
Au mtu akishakua na internet kwenye simu ama computer basi lugha ya malkia anaiweza?!

Jiulize, kama asilimia kubwa tu ya watu wetu (na nina uhakika jimboni kwako ni zaidi ya wastani wa taifa) hawajui kusoma na kuandika kiswahiki let alone lugha hii ya malkia?! Unategemea mawazo na maoni toka kwa kina nani?!

Huna tofauti na wale wenzako waliochagua kuongea kingreza (lugha ya kigeni) na wakatafuta mkalimani wa kutoa kingereza kwenda kichina kwa ajili ya raisi wa china na ugeni wake wa watu wachache tu huku wakisahau kuwa kwa hiyo lugha waliotumia kuna watanzania zaidi ya milioni 20 (kwa uchache) hawajui chochote kilichoongelewa kuhusu yote yaliyofanyika!!

Mnaabudu ngozi nyeupe, ni wonder kila kitu mmewapa hao waliberali!
Na hiki ndicho kitakachokuondoa pale jimboni kwako! Amini nakwambia!
 
Kwan umefanya nn kwa jimbo lako kionekane ni kwamba jimbo linaongozwa na msom, ingekuwa vizur kama unge sema tangu upate ubunge kuna kitu umefanya kitu amacho ini touched kwa jimbo lako. Lakin kumbuka elim si elim mpaka iwekwe kwenye practice says prof. Mnyika
 
Mmh I think u setting up a platform for new thoughts and idea well done! " thinking reasonably is the beginning of change" however we can only move forward if there are grounds for people to realise their full potential...and this is what serious governments do....ours has failed us in every aspect including the rule law...change must begin at a personal level...I expect you and your colleagues "mjengoni" to be able to think of tanzania first before your own or party interest ..to be able to speak the truth in all circumstances....once that is done(responsibility) then u can come out and tell us all what u are telling us now.....
 
Colleagues,

I am thinking of using this forum and other online fora to catalyse discussions on how we use our potentials to bring about change in our country. I need us to use the internet as an opportunity to do something about our daunting challenges as Tanzanians and therefore I expect contributions that would enlighten us or which provide solutions for furtherance of our development cause. The premise behind this is that; a lot of people concentrate and thus waste a lot of time looking at one closed door instead of exploring for possibilities of many other open doors. Many people focus on just talking about the challenges we face as a nation instead of working hard to find solutions about them. A lot of us focus on looking up to the government for solutions instead of working hard to offer solutions. Some few young elites, and of course even our mentors/teachers, have become myopic and thus are looking only on one thing - uprooting the ruling party. Is it the only door open? What about other options like forging partnerships? What about adopting political consultation systems to govern our economy?

To me the following forms the major challenges we face today as a nation: poverty and food security, unemployment, illiteracy, diseases, energy paucity, widening inequities, maintaining peace and security, poor mindset, poorly performing institutions, and having a true form of democracy...not just having elections and winning the majority votes but how do we protect the rights of the minorities? How about the rule of law?

To address the problems we face, I suggest the following: we embark on major reforms on our institutions that govern our politics, economics and social fabrics. We have a golden opportunity now that we are in the process of writing our new constitution. What do you think? Lets enjoy a fruitful discussion here.

Hello Kigwangala!
We cannot have any positive under CCM, if you come up with such ideas while we have already found an option and all that you mention are in CHADEMA's constitution. M y surprise is that you have party manifesto that yu support everything in parliament with what you call "Mia kwa mia" If you are a serious discussant come out of CCM and please try to give us a brief way forward of Nzega constituency after being part of robbing all riches from the district with your colleagues through resolute gold mine.

I am now worried with the kind of elites inCCM you being one of them,is your EDUCATION genuine, because the statements you make both in and outside parliament do provoke many people than provide solutions.

I thank you very much for providing us with many evidences of how CCM and her leaders are, 50 years of independence you still ask people to discuss means of eradicating poverty and you are one of the policy and decision makers, in my view you don't deserve to be there at all.
 
With some obvious benefit of doubts, I advise you to adjourn the dialogue/discussion/debate until when important and delicate issue of the hour are properly dealt with.

Both the TIME and PLACE are not right HK.
 
HKigwangalla The problems of this nation are rooted in the legal and political systems we have. There is no responsibility and accountability in our budgets, policies and commitments. Often times we comsider our party, comrades and families, and seldom do we put national interests forward.
Why don't we hold accountable people who fail us? Why don't we have realistic plans and policies that are continuous instead of every minister/ministry planning his/her own priorities once in office? Who has the oversight role over our plans and policies (to ensure they are implemented)? .....
How do we consider expertise versus politics in command?
 
Last edited by a moderator:
Tatizo watu wakibandika post huwa hawarudi tena, sijui wanapima kwanza upepo wa namna gani watu wamepokea?
 

Great Scramble, take into clear consideration that ones idea becomes a touch to others, if you are a
roll model everything you do is marked, now the worse and the better of Mwigulu are marked.

Where is James Mbatia when we need him most......
 
Mkuu HKigwangala kila mwanadamu ana mapungufu yake lakini hapa sio uwanja wa kujadili hayo. Nikupongeze kwa hii move ingawaje sijui ni kwa jinsi gani itwaeza kuwa endedlevu.

Kwa fikra zangu uliyoyaeleza ni end results ya matatizo tuliyokuwa nayo watanzania. Kwangu nafikiri chimbuko la matatizo hayo ni:

>> Ubinafisi na ukosefu wa uzalendo kwa watawala na watawaliwa i.e Watanzania wote hatuna uzalendo.

>> Matatizo makubwa katika mfumo wa sheria zetu kiasi ambacho wabadhirifu hawachukuliwi sheria stahiki na kukomesha tabia zinazoliweka taifa letu katika umaskini mkubwa.

Suluhisho:

>> Sheria kali zitungwe na kutekelezwa kwa wabadhirifu wa mali za umma ikiwa ni pamoja na kufilisiwa na adhabu za kifo ikibidi.

>>Fungu kubwa la bajeti lielekezw kwenye elimu.

Nafikiri tukielekeza nguvu kwenye ELIMU na kupiga vita ubadhirifu hayo matatizo mengine ni rahisi kuondoka.
 
Hamis,

Tatizo kubwa la taifa sasa ni moja tu... "UVIVU" tu.

  • Ni Uvivu unaowafanya watu waamini shida zao zinaletwa na chama fulani na zitatatuliwa na chama fulani.
  • Ni UVIVU ndio unasabibisha wigo wa kodi usipanuliwe kwa sababu wanataka kodi zinazokusanyika kwa urahisi tu.... PAYE, Excise tax, VAT, Fuel levy etc.
  • Ni Uvivu ndio unasababisha ati baada ya wizara zote kujadiliwa pale Bungeni bado Bajeti kuu ya Serikali imepangiwa idadi ya siku zile zile kama zamani.
  • Ni Uvivu ndio unafanya bajeti ya Serikali ijadiliwe miezi mitatu badala ya kufanya kazi kwa masaa mengi kwa siku na kufanya kukamilisha majadiliano ndani ya wiki sita.
  • Ni Uvivu ndio unasababisha kila tatizo liwe linafikiriwa solution ni moja, kuanzisha mfuko, wanawake, vijana, etc... badala ya kurekebisha evolve financial insitutions zihudimiwe watu wote efficiently.
  • Ni Uvivu ndio unatutofautisha sisi na WaKenya.
  • Ni Uvivu ndio unasababisha kwa asimilia zaidi ya 90% Bunge linajadili Matumizi badala ya Mapato.
  • Ni Uvivu ndio unatudanganya kwamba ukiwa na Almasi Ardhini wewe ni Tajiri... Hata kama haijavunwa... ati ukiwa na Mahindi au Mpunga shambani haujavunwa na kuuzwa wewe ni Tajiri bila kujali Mahindi au Mpunga unaweza liwa na wanyawa wanaofugwa au Wanyama Mwitu.
  • Ni Uvivu ndio unatufanya tudhani Serikali 3 ndio nzuri... ili watu wengine waajiriwe kwenye siasa, marais watatu, etc.
  • Ni Uvivu ......
  • Ni Uvivu.....
  • Ni Uvivu ndio unawdanganya watu kwamba ati Lowassa, au Rostam ndio amesababisha mwananchi x awe masikini.
  • Ni Uvivu.
 
Huyu Kingwangala, alisomea wapi? Dr mzima anaandika Kiingereza cha hovyo namna hii kuanzia tenses ni mgogoro hadi kufikisha ujumbe?. Halafu kinachonishangaza watu wanapoteza muda kuchangia. Changamoto alizoziuliza hazihitaji Kwenda shule kupata majibu yake jibu moja tu ni KUWA INAHITAJIKA COMMITTED LEADERSHIP, NA KWA MAANA HIYO YEYE HASTAHILI KUWA MBUNGE WA NZEGA MAANA NI MWIZI NA MBABAISHAJI.

sis wengine bado wanafunzi. ungetusaidia kuonesha wapi amekosea ktk kiingereza na usahihi wake ni upi! kusema tu bila kutoa ushahidi siyo sahihi
 
We are also Civil Servant. We always observed how the system is corrupted and threatened us who want to serve for the nation. Then we forced to joined them for our survival. If you found clean in a corrupted system then your noted as a BIG enemy.

so you agree that you are part of corruption in our country. that's why I wrote that corruption isn't ccm's problem. it is the society that is accommodating corruptin
 
kumbe iishu makini zinahitaji lugha za kigeni? Anyway, jambo la msingi la kuanza nalo ni kuiondoa sisiem madarakani.
 
Colleagues,

I am thinking of using this forum and other online fora to catalyse discussions on how we use our potentials to bring about change in our country. I need us to use the internet as an opportunity to do something about our daunting challenges as Tanzanians and therefore I expect contributions that would enlighten us or which provide solutions for furtherance of our development cause. The premise behind this is that; a lot of people concentrate and thus waste a lot of time looking at one closed door instead of exploring for possibilities of many other open doors. Many people focus on just talking about the challenges we face as a nation instead of working hard to find solutions about them. A lot of us focus on looking up to the government for solutions instead of working hard to offer solutions. Some few young elites, and of course even our mentors/teachers, have become myopic and thus are looking only on one thing - uprooting the ruling party. Is it the only door open? What about other options like forging partnerships? What about adopting political consultation systems to govern our economy?

To me the following forms the major challenges we face today as a nation: poverty and food security, unemployment, illiteracy, diseases, energy paucity, widening inequities, maintaining peace and security,
poor mindset, poorly performing institutions, and having a true form of democracy...not just having elections and winning the majority votes but how do we protect the rights of the minorities? How about the rule of law?


To address the problems we face, I suggest the following: we embark on major reforms on our institutions that govern our politics, economics and social fabrics. We have a golden opportunity now that we are in the process of writing our new constitution. What do you think? Lets enjoy a fruitful discussion here.


HK mabadiliko ya kifikra (mindset) yanatakiwa kuanzia kwako wewe kwanza!!...Kwanza kwa kuiheshimu na kuikubali lugha yako ya KISWAHILI. Ungeleta hoja yako kwa lugha inayoeleweka kwa hata wapiga kura wako jimboni kwako Nzega kule katika vijiji vya Ntazengwa,Nata,Nkiniziwa nk mimi kidogo ningekuona uko makini na una nia ya dhati kupata mawazo mazuri ili uyapeleke huko mjengoni ili ukapambane vyema na wahafidhina wenzako wanaCCM!!

Nakubaliana na wewe kabisa kuwa matatizo uliyaorodhesha ktk hoja yako hapo juu, ndiyo changamoto kubwa inayowasumbua Watanzania kwa ujumla wakiwemo wako wa kule Nzega waliokuchagua 2010 na kila mtu anajaribu kutafuta suluhu yake. Na tunapotafuta suluhu tusisahau na kuangalia chanzo/kisababisho chake.

Kwa mtazamo wangu na walio wengi (naamini hivyo) ni kuwa matatizo yote hayo yanafungamaishwa katika tatizo moja kuu nalo ni umaskini...Umaskini kaka unazaa yote hayo rushwa na ufisadi,utawala usiozingatia sheria,utumwa wa kifikra,njaa,ukosefu wa ajira,ujinga,tofauti kubwa ya walio nacho na wasio(maskin na matajiri) nk,nk. Kukabiliana na haya ni lazima kuwa jambo moja tu UTAWALA BORA. Hili ndilo tatizo la nchi yetu na ni vyema kila mtu akalisema hili na utawala huu chini ya ninyi CCM hautweza kutupatia hili......ni lazima utoke nje ya hapo!!

Hebu tazama manavyojadili mambo ndani ya chombo muhimu kama bunge. Chombo ambacho wewe ni mjumbe,chombo ambacho ndipo mahali pa kuyapeleka haya uliyayasema na yakajadiliwa kwa marefu na mapana yake kisha kuyawekea mikakati ya kuyasimamia, chombo ambacho tunakiita cha uwakilishi wa wananchi wengi mkiwa ninyi CCM na kiukweli ninyi ndo mnachoamua chochote,na hii ndiyo dhambi ambayo hamtaikimbia kwa sbb itawafuata popote mtakakokuwa.Kwa sbb mnachokifanyaga humo ni upuuzi na ujinga mtupu na kwa mtindo mnaoenda nao ninyi CCM wa NDIYOOOOO au HAPANAAAAA au SIYOOOOOO kamwe hamtaweza kuyaondoa haya milele kwa sbb matumbo na ufahari kwenu ni zaidi sana kuliko wananchi, na kwa maaana hiyo mnaupalilia UMASKINI kwa kuujengea ngome inayoitwa UFISADI na RUSHWA!!....

Kuindoa CCM (Uprooting the ruling party) kama ulivyosema ni hatua MOJA mbele na MUHIMU na ni ya YA LAZIMA,na hatua inayofuata ni hiyo sasa ya ku-embark major reforms on our major institutions that govern our political and socio-economic fabrics

Tunayo mengine yote kama ARDHI iliyojaa kila aina ya maliasili,WATU zaidi 45milioni na kukosa jambo moja tu UONGOZI BORA na kamwe kwa hali ilivyo kwa sasa haupatikani na hautapatikana tukiwa na CCM hii ya JK ,Nape,Mwigulu na Kinana jangili wa tembo wetu!!!!!......NEVER...NEVER....NEVER.....EVER!
 
Colleagues,



To me the following forms the major challenges we face today as a nation: poverty and food security, unemployment, illiteracy, diseases, energy paucity, widening inequities, maintaining peace and security, poor mindset, poorly performing institutions, and having a true form of democracy...not just having elections and winning the majority votes but how do we protect the rights of the minorities? How about the rule of law? .

All these are caused by CCM. With CCM you can not do anything to eliminate or reduce these challenges.
 
HK, Tanzanians are too angry at the moment to be able to objectively discuss any issue. The incident of bombing in Arusha and the shedding of blood of innocent children is still fresh in our mind. So, bear with anyone who may have or will lash at you!
 
The opposition has come with such propositions in and outside the Parliament a thousand times, but you and colleagues of the ruling part have openly opposed discussion on the same.

If you are secrtetely making effort to rescue your part, 'it is just too late' strictly speaking.
 
Back
Top Bottom