For R&B lovers let's kick it

For R&B lovers let's kick it

Huwa naskiliza wengi wengi ila bado bingwa kabisa wa hizi mambo nitabaki kusimama na Robert Kelly😂😂😂, hata kama hayupo uraiani kutoa ngoma ila huyo jamaa ni jini😂😂😂
Sawa jini mimi napambana na mtoto Aaliyah huyu sitachoka kumsema kwenye R&B, Ni fundi haswa natamani angekuwa hai mpaka leo sijui ingekuwaje!.
Lakini no one kwa wasanii wote ni Michael Jackson!.. Huyu fundi muziki wake nauelewa sana!.
 
Sawa jini mimi napambana na mtoto Aaliyah huyu sitachoka kumsema kwenye R&B, Ni fundi haswa natamani angekuwa hai mpaka leo sijui ingekuwaje!.
Lakini no one kwa wasanii wote ni Michael Jackson!.. Huyu fundi muziki wake nauelewa sana!.
Unapenda sauti laini wewe😅😅😅... Yuko vizuri kwasababu ukiskiliza ngoma zake ni ngumu kuskip, unaweza kuskiliza ngoma hadi ngoma... Mimi sio mpenzi sana wa pop so Michael si mtu ambae nimewahi kuskiliza sana ngoma zake.
 
Unapenda sauti laini wewe😅😅😅... Yuko vizuri kwasababu ukiskiliza ngoma zake ni ngumu kuskip, unaweza kuskiliza ngoma hadi ngoma... Mimi sio mpenzi sana wa pop so Michael si mtu ambae nimewahi kuskiliza sana ngoma zake.
Haha! sasa maisha yawe magumu na nisikilize ngoma ngumu huko ndo kuja kuwa mzimu unaesumbua ukoo...🤣
 
Haha! sasa maisha yawe magumu na nisikilize ngoma ngumu huko ndo kuja kuwa mzimu unaesumbua ukoo...🤣
Kuna ngoma hautakiwi kuskiliza mwenyewe, unatakiwa uwe na mwenzio wa jinsia tofauti mnapokelezana chorus here and there... Ili siku hata mkiachana ukijifungia ndani uskilize hizo ngoma ujinyonge vizuri.😅😅😅
 
Kuna ngoma hautakiwi kuskiliza mwenyewe, unatakiwa uwe na mwenzio wa jinsia tofauti mnapokelezana chorus here and there... Ili siku hata mkiachana ukijifungia ndani uskilize hizo ngoma ujinyonge vizuri.😅😅😅
That's kind of dark psychology!, haifanyi kazi kwangu hiyo nishatoka huko kujinyonga mh!.😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom