For R&B lovers let's kick it

For R&B lovers let's kick it

Tangiapo R&B za zamani naweza sema ndio nzuri zaidi na ndio maana hata playlist yangu yote ni za zamani!..
Ni kweli kwa sababu in 1990's kwa 2000's ndio ilikuwa Era ya RnB kwa hiyo wasanii wengi wakali walitoa best RnB songs. Ila kwa hao niliowataja naona ndio wanapambania RnB ya sasa
 
Msije mkafikiria Bongo hakuna R&B zipo nazo nitakuwa naziweka!..
Naanza na huyu bibie grace matata
 
I don't know what happened to me but this kind of music right now is kicking into my head!, maybe my age now is getting older!..😂
I now really love R&B for sure!, This kind of music is stimulating my medulla and relaxing my feelings.

So for those who loves R&B, let's join here and enjoy the beautiful of Rhythm & Blues..😉

View attachment 3334902
View attachment 3334903
Aisee mkuu umeniwahi , tangu jumatano nilikuwa nafikiria kufungua uzi ambao nitakuwa nashare nyimbo kali za RNB🙌✊
 
I don't know what happened to me but this kind of music right now is kicking into my head!, maybe my age now is getting older!..😂
I now really love R&B for sure!, This kind of music is stimulating my medulla and relaxing my feelings.

So for those who loves R&B, let's join here and enjoy the beautiful of Rhythm & Blues..😉

View attachment 3334902
View attachment 3334903
 

Attachments

  • Screenshot_20250518-121459_1.jpg
    Screenshot_20250518-121459_1.jpg
    148.2 KB · Views: 10
Kwa era hii

1. SZA - Snooze
2. H. E. R - Damage
3. Giveon - lie again
4. Khalid - location
5. Muni Long - hours and Hours & made for me
6. Silk Sonic - Leave the door open
7. Ella mai - Trip

Wengine mtaongezea za sasa maana za zamani zipo kibao
 

Attachments

  • Screenshot_20250518-121459_1.jpg
    Screenshot_20250518-121459_1.jpg
    148.2 KB · Views: 19

Similar Discussions

Back
Top Bottom