Kiberiti Kidogo
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 575
- 915
Mmm nimeshindwa. Au naa aina ya simu inamata
Unaroho mbaya. Unatutamanishaa etiii.andika hivi bold
underline hivi underline[/b]
color hivi color
Jaribu tenaMmm nimeshindwa. Au naa aina ya simu inamata
Kwenye simu kuna haya mabanoMmm nimeshindwa. Au naa aina ya simu inamata
AsanteKwenye simu kuna haya mabano
[ ] na hiki kimkato / hivi ndiyo unavitumia kutengeneza unachotaka
Ili upate bold code yake ni hii
"[B ] [/B ]" utaiandika bila funga na fungua semi na pia mabano ya mbele yasiachane. Nisipofanya hivyo hapo patakua blank.
Katikati ya hiyo code utakapoweka maneno yako ndiyo yatatokea huku yamekua bolded
Mfano
[B ]Mfano [/B ]
Mabano ya mbele yasiwe na space.
Jaribu basi.Asante
Kama umeweza nisaidieht kwa simu mayb huenda simu na simu
haina haja kashaelewaSasa mbona hata huku mtagi Joseverest atajuaje kuwa unamuita huku?
Mbona haijatokea!?[B ]najaribu[/B]
hata mimi sielewiHumhimu wake ni nn