Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,184
- 1,095,289
Safi
Nimeweza
Nimeweza
Ww mtoto unatisha kama kirus cha Ebola,au ulisoma IT
Jamani mimi sijui kufungua uzi yaani kuanzisha thread hebu nipeni maujuzi basi maan nina umbea nimebaki kucoments
NGOJA NIJALIBUkwenye alama ya sawasawa usiweke SPACE. Kama hivi
Mbona mimi inakubali