For all gamers here and non gamers too

For all gamers here and non gamers too

Pubg King

Member
Joined
Apr 30, 2020
Posts
21
Reaction score
3
Habari za jioni waheshimiwa wote humu ndani, nilikuwa nikiwaza ukienda youtube utaonda watu wameunda channel zao mbalimbali za games ambazo is very interesting pia wana community wanao submit clip zao mfano Pugb tv and wengineo. Mfano, hao jamaa wanapoke clips za fans zao na kuzi upload kama vile funny momets, kills, etc.

Nami na jamaa wangu tumeamua tufanye kitu icho icho leo, ila channel yetu ina husu sana GMV, ambazo ni gaming music video, tunachofanya ni ku combine best memonts za games trailers etc na kuweka music background.

Moja tuliyo upload leo ni hii



chukua 2 minutes kutazama pia wasilisha maoni yako. lengo tungependa hii channel izidi kuwa kubwa zaidi hivi tunaitaji gamers ku subs hata kama sio gamers hizi videos ni very interesting kutazama unapokuwa na mda, wote mwakaribishwa, pia tunahitaji maoni yenu
 
Ngoja nishauri kitu hapa,

Unawacheki hao jamaa kisha unajiuliza hawa jamaa mbona wana subscribers wengi na views za kutosha.

Unaenda mbele kidogo unasema hata mimi naweza tengeneza channel yenye maudhui kama hayo ikapendwa hapa bongoland.

Lakini unasahau kitu kimoja muhimu, audience ya Tanzania ni tofauti na ya huko western.

Lengo kuu la kufungua channel upate subscribers wengi na views nyingi ili $$$$ zisome.

Turudi kwenye targeted audiences wa hapa bongo je ni watu wenye kupenda kuangalia contents hizo.

Unarudi nyuma unajiuliza tena.
1. Wanazo gaming systems i.e consoles au dedicated gaming PC

Jibu ni hapana na walizonazo ni wachache sana.

Basi bana tengeneza content za kuwasaidia hawa wengi wanaotumia mashine zisizo na uwezo ambazo ni nyingi sana.
Mifano hii:

jinsi ya kuweka fifa 15 kwenye dell fulani i3

Unaangalia wanachuo wengi wanatumia mashine zipi unatengeneza tutorials nyingi kwa mashine tofauti tofauti ambazo ni common sana kwa hao wapenzi wa games ila uwezo tu ndio hafifu.

Utapata viewers ila si wengi wa kutisha maana kundi la wapenda games si kubwaa kivilee.
 
Ngoja nishauri kitu hapa,

Unawacheki hao jamaa kisha unajiuliza hawa jamaa mbona wana subscribers wengi na views za kutosha...
You are right kwa tz sio rahisi Sana but sizan kwa YouTube wanalimit where to show as long target keyword Zina match na content Fulani, hapa kwa idea yako imenipa wazo niongeze kipengeleni kingine maybe playlist, itakuwa vyema, thanks for advice
 
Ngoja nishauri kitu hapa,

Unawacheki hao jamaa kisha unajiuliza hawa jamaa mbona wana subscribers wengi na views za kutosha.

Unaenda mbele kidogo unasema hata mimi naweza tengeneza channel yenye maudhui kama hayo ikapendwa hapa bongoland.

Lakini unasahau kitu kimoja muhimu, audience ya Tanzania ni tofauti na ya huko western.

Lengo kuu la kufungua channel upate subscribers wengi na views nyingi ili $$$$ zisome.

Turudi kwenye targeted audiences wa hapa bongo je ni watu wenye kupenda kuangalia contents hizo.

Unarudi nyuma unajiuliza tena.
1. Wanazo gaming systems i.e consoles au dedicated gaming PC

Jibu ni hapana na walizonazo ni wachache sana.

Basi bana tengeneza content za kuwasaidia hawa wengi wanaotumia mashine zisizo na uwezo ambazo ni nyingi sana.
Mifano hii:

jinsi ya kuweka fifa 15 kwenye dell fulani i3

Unaangalia wanachuo wengi wanatumia mashine zipi unatengeneza tutorials nyingi kwa mashine tofauti tofauti ambazo ni common sana kwa hao wapenzi wa games ila uwezo tu ndio hafifu.

Utapata viewers ila si wengi wa kutisha maana kundi la wapenda games si kubwaa kivilee.
Moja kati ya mawazo mazuri sana #akil kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom