Football WORLD RECORD! Vanuatu 46-0 Micronesia

pistmshai

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
1,315
3,680
The Federated States of Micronesia national under-23 football team maarufu kama Four Stars. Mnamo tarehe 3 July 2015 ilicheza mechi yake ya kwanza (Debut) dhidi ya Tahiti katika mashindano ya Pacific Games na kujikuta imechabangwa magoli 30-0. Mechi yake ya pili ilicheza dhidi ya Fiji tarehe 5 July na kupigwa magoli 38-0. Tarehe 7 July ilikamilisha mchezo wake wa tatu katika kundi dhidi ya Vanuatu, hiyo mechi ndio walivunja record ya dunia kwa kupigwa magoli 46-0, nakujikuta wakiwa mamepigwa jumla ya magoli 114-0.
t.PNG
 
Hiyo ndio timu ya kuomba mechi nae za kirafiki ili na sisi tuweke record y a dunia
 
Back
Top Bottom