Samahani naomba msaada kuhusu tofauti ya maana ya sentensi hizi "I am going to the market" na "I am going to market"
Hiyo sentensi ya pili ina utata kwa sababu neno "market", mbali ya kuwa ni nomino/noun linaweza pia kubeba maana ya kitenzi/verb. Kwa hiyo, ukitoa hiyo sentensi ya pili (bila kuwa na muktadha), kuna uwezekano unayemwambia akakuuliza: "....to market what [product]?" ama "what [product] are you marketing?".Samahani naomba msaada kuhusu tofauti ya maana ya sentensi hizi "I am going to the market" na "I am going to market"
Hiyo sentensi ya pili ina utata kwa sababu neno "market", mbali ya kuwa ni nomino/noun linaweza pia kubeba maana ya kitenzi/verb. Kwa hiyo, ukitoa hiyo sentensi ya pili (bila kuwa na muktadha), kuna uwezekano unayemwambia akakuuliza: "....to market what [product]?" ama "what [product] are you marketing?".
Nadhani hujanielewa tu. Ni kweli yeye ametaka kujua tofauti ya sentensi hizo mbili kwa maana kuwa pengine anataka kuitumia mojawapo
Going to market=in this the word market has been used as a verb i.e going to a certain market to buy something
Going to the market=in this it means going to a specific market but not for the aim of buying something from that market,this statement may cause the other person to ask you.When you say "I am going to the market",you may be asked question like "To do what?".
Going to church=church has been used as a verb,this means going to a church,reason to pray
Going to the church=going to the church reason not to pray,say to see someone or meet someone.
I might not be good in explaining but that is it.
You are right. I read about this in "Common Mistakes" a long time ago. But ni msaada gani uliokuwa unauhitaji then?!