Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Nimeuliza swali lakini nia yangu ni kutoa Wito kwamba tuchukue hatua Sasa kujiokoa WENYEWE tumwache Rais Magufuli Akae Kwao Chato, nadhani kwake familia na Mama Mzazi wake wakati huu ni muhimu kuliko nchi...Ndugu, TUAMKE, TUNAKWISHA.
Haya ni Makaburi ya Ununio Dar es Salaam, mmoja wa waliozikwa juzi Usiku ni Bernard Ngoyai Lowassa, sina Hakika kama ni Mwanafamilia wa Familia ya Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa
Haya ni Makaburi ya Ununio Dar es Salaam, mmoja wa waliozikwa juzi Usiku ni Bernard Ngoyai Lowassa, sina Hakika kama ni Mwanafamilia wa Familia ya Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa