Chadema hamtakuwepo,subirini 2030.Hivi wangeenda kuzibeba hizo karatasi kwa Land cruiser 2 au 5 na walinzi wao, kenge wasingetiki oktoberi?
Just curious tu wandugu, povu ruksa
Imekua chauma hio ebu tutolee upuuzi huko.Hivi wangeenda kuzibeba hizo karatasi kwa Land cruiser 2 au 5 na walinzi wao, kenge wasingetiki oktoberi?
Just curious tu wandugu, povu ruksa
they care who they care, if you don't care let those ones who works to care!.Who cares? Sasa na hayo mayutong yamebeba karatasi?
Inashangaza sana..Hivi wangeenda kuzibeba hizo karatasi kwa Land cruiser 2 au 5 na walinzi wao, kenge wasingetiki oktoberi?
Just curious tu wandugu, povu ruksa
Tuliza kikomwe mkuu yapo mambo yamaana yakushauri tu huku unapiga zogo bure...😂I said just curious boss...
Professor Assad alisema tuna ujinga wa kihalaiki.Ujinga umepewa kipumbele kikubwa sana kwenye hii nchi.
Tuliza kikomwe mkuu yapo mambo yamaana yakushauri tu huku unapiga zogo bure...😂
Protocol gani upuuzi tu huko protocol zilipoanzia hawana huo upuuzi we ndiyo unazijua sana protocol!Mh! protocol za kazi zao unazijua au unafikiri taasisi ya urais inaendeshwa kama genge la mabodaboda!..😅
Kama unaona hata huko walipoanzia hawana protocol za kazi basi wewe ni zwazwa la mwisho!,Protocol gani upuuzi tu huko protocol zilipoanzia hawana huo upuuzi we ndiyo unazijua sana protocol!
🤣🤣🤣🤣Utajuaje km tunakubalika Kwa kulazimishaHivi wangeenda kuzibeba hizo karatasi kwa Land cruiser 2 au 5 na walinzi wao, kenge wasingetiki oktoberi?
Just curious tu wandugu, povu ruksa