dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,907
- 8,246
Nimeshangaa huyu mwenyekiti wa Nec akiwa TBC kuwa mgombea wa ubunge kule Korogwe alienda kurudisha form kwa mtu mwingine na si kwa mkurugenzi wa Wilaya.
Kwani CHADEMA wakati wanachukua form walichukua kwa nani!!?
Harafu yule mwandishi mbona hajamuuliza swali simple kama hili!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani CHADEMA wakati wanachukua form walichukua kwa nani!!?
Harafu yule mwandishi mbona hajamuuliza swali simple kama hili!!?
Sent using Jamii Forums mobile app