Naombeni msaada kwa anayejua tofauti ya hizi fomu mbili.
Je zina tumika zote kwa pamoja? na ni wakati gani wa uthamini?
Okey ni Hivi Land Form namba 69 inamfahamisha mmiliki wa ardhi kuwa ana haki ya kuomba fidia kwa madhara yeyote ama uharibifu uliotokana na kitend cha serikali kuchukuwa ardhi yako na ile no. 70 ndio form yenyewe sasa ambayo utaijaza mkuu....
For more check me on PM
Naombeni msaada kwa anayejua tofauti ya hizi fomu mbili.
Je zina tumika zote kwa pamoja? na ni wakati gani wa uthamini?