Habarini wakuu.natafuta foloma za kutengenezea pavement brocks,mwenye kujua mahali zinakouzwa kwa hapa dar, tafadhali nijuze.Natanguliza shukrani
Bila shaka wewe ni Mfipa! Wafipa hawawezi kutamka vizuri neno "frame" na badala yake wanaita Foloma wakimaanisha mould ya kutengenezea tofali.
Please nenda pale university of Dar es Salaam karakana iitwayo BICO - campus ya mlimani na watakupatia hizo foloma za kutengenezea paving blocks.