Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,312
Wasaalam wakuu.
Naipongeza serekali kwa kujitahidi kutuwekea daraja la waenda kwa miguu mabatini_mwanza..
kutoka nata hadi mabatini foleni sasa imeisha kabla hata daraja kuzinduliwa imeisha shauri ya upana wa barabara na jitihada za trafiki.
Foleni sasa imeamia mabatini buzuruga na pale buzuruga ni uzembe tu kwani wahusika wengeweza kuhamisha kituo kimoja cha hiace wanaoenda Igoma zishushe hiace nje ya bus stand buzuruga na wanaoenda mecco washushe barinaba.
naomba mamlaka husika wachukue hatua sasa!
Naipongeza serekali kwa kujitahidi kutuwekea daraja la waenda kwa miguu mabatini_mwanza..
kutoka nata hadi mabatini foleni sasa imeisha kabla hata daraja kuzinduliwa imeisha shauri ya upana wa barabara na jitihada za trafiki.
Foleni sasa imeamia mabatini buzuruga na pale buzuruga ni uzembe tu kwani wahusika wengeweza kuhamisha kituo kimoja cha hiace wanaoenda Igoma zishushe hiace nje ya bus stand buzuruga na wanaoenda mecco washushe barinaba.
naomba mamlaka husika wachukue hatua sasa!