complex31 JF-Expert Member Jun 15, 2016 379 1,208 Nov 15, 2019 #1 Wanaotumia barabara ya Mandela kuna foleni ndefu na gari hazisogei kuanzia Ubungo Kinyerezi mpaka Buguruni.
Wanaotumia barabara ya Mandela kuna foleni ndefu na gari hazisogei kuanzia Ubungo Kinyerezi mpaka Buguruni.
gango2 JF-Expert Member Aug 31, 2011 1,941 2,251 Nov 15, 2019 #2 Alternatives kama unaend buguruni, jaribu pita sinza, ingia mabibo tokea kigogo kisha buguruni wale wa kinyerezi better wapite shekilango waingie ubungo mziwa watokee extenal kisha waingie njia ya jeshi kiskulu
Alternatives kama unaend buguruni, jaribu pita sinza, ingia mabibo tokea kigogo kisha buguruni wale wa kinyerezi better wapite shekilango waingie ubungo mziwa watokee extenal kisha waingie njia ya jeshi kiskulu
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,632 697,796 Nov 15, 2019 #3 Hii ni mara ya pili inatokea ndani ya kipindi kisichozidi siku kumi... Tatizo ninini?
General8 JF-Expert Member Jul 28, 2013 992 844 Nov 15, 2019 #4 Driver ananambia toka sa 8 mpaka sasa hivi 12 na robo bado yuko folen mabibo hostel, sijui nini shida huko mbele
Driver ananambia toka sa 8 mpaka sasa hivi 12 na robo bado yuko folen mabibo hostel, sijui nini shida huko mbele
Mbao za Mawe JF-Expert Member May 11, 2015 23,373 54,756 Nov 16, 2019 #5 Uzuri watanzania hata kwenye foleni kama hii hatuwezi kujiongeza wenyewe na kutatua tatizo mpaka waje nyange nyange.
Uzuri watanzania hata kwenye foleni kama hii hatuwezi kujiongeza wenyewe na kutatua tatizo mpaka waje nyange nyange.