FNB bank ( first national bank)

Dodo18

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2011
Posts
315
Reaction score
93
Karibuni FNB bank kwa wanaohitaji kufungua bank account tuna salary account, savings account, fixed na flexi fixed account. Na tuna hii account inaitwa Goldcheque account ni especially kwa waajiriwa na wafanya biashara wanaotaka mikopo binafsi na mikopo ya nyumba hii inawafaa. Karibuni. Nimeambanisha attachments.
 
Mna account itakayoniwezesha
1.Kutuma pesa popote duniani
2.Kupokea pesa kutoka popote duniani

Na usumbufu ukoje maana kuna benki makubwa wameajiri wafanyakazi wasiojua majukumu yao na pia digital world hawaijui kabisa mfano CRDB ni wasumbufu mno kwenye suala hili
 
Fixed deposit ni % na mteja anaweza ku draw interests kwa interval gani?
 
Acc zetu zote zinaweza kupokea na kutuma pesa isipokua za Fixed deposit. Na vile vile utaunganishwa na mfumo wa digital banking ambao utaweza kufanya haya yote hata ukiwa nyumbani.
 
riba ya mikopo yenu inacheaza kwenye %ngapi?
Karibu sana kwenye tawi letu lolote lililopo karibu na wewe utape Maelezo zaidi kuhusu aina za mikopo tuliyonayo na riba zake.
 
Acc zetu zote zinaweza kupokea na kutuma pesa isipokua za Fixed deposit. Na vile vile utaunganishwa na mfumo wa digital banking ambao utaweza kufanya haya yote hata ukiwa nyumbani.
1. mobile banking yenu ipo very limited (Tigo tu mitandao mingine hola!)
2. mobile banking yenu ime limit 1M tu kwa siku
3. mobile facility yenu haina user-friendly bank-to-bank
4. kwenye regions ambazo hamna branches, hamkubali mortgage. why??

mkiyafanyia kazi hayo, mpo vizuri otherwise.
 
Savings akaunt zenu makato yakoje ??
Nakukaribisha Msasani branch au tawi letu lolote karibu na wewe tuna products nyingi zaidi na amini zitakufaa kwa matumizi ya kawaida na makubwa.
 
You know them very well!
 
Tuko kwenye mazungumzo na mitandao mengine kama Vodacom na Airtel sababu with Tigo its free tunataka na mitandao mengine pia iwe free.
And about other regions tunakua so far tupo Arusha and Mwanza na soon Mbeya.
 
And about other regions tunakua so far tupo Arusha and Mwanza na soon Mbeya.
Msaada jinsi ya kuunganisha card yangu na malipo ya online kama paypal an skrill nilijaribu kujiunga ikakataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…