FM redios zinaboa

FM redios zinaboa

Invarbrass

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2011
Posts
504
Reaction score
111
Jamani hebu fuatilieni hizi fm redio zilojaa ka utitili. Vipindi vyao sivielewielewi kwanza vinafanana sana wanabadili tu majina afu mada zao nyingi ni porojo. Sikatai sometimes porojo ni burudani lakin it is too much.

Afu kero kubwa ni pale wanaposhupalia matukio makubwa yanayo wazidi uwezo wa kuchambua af wanaanza kupotosha umma. Utakuta eti mtangazaji anajadili habari za Libya wakati uelewa wake ni finyu.

Wa kati mwingine wanatake side wanapojadili issue sensitive kama za dini ( rejea isssue za Igunga) Nashauri wamiliki waajiri watu wenye kada tofauti ili kila mtagazaji a deal na area yake. Pia wajisomee make ni aibu kumwaga pumba mbele ya public utadharaulika. Pia wamiliki wajue Tanzania sio ya masharobalo tu. Waaandalieni masharobalo vipindi vyao na pia vyenye mantiki andaeni.

Mtapotosha watoto wetu. KUtwa nzima utasikia ooohhh.. UNAONA BWANA. EBO!
 
Tabu hakuna quality kungekuwepo na quality na utofauti mkubwa basi pumba na mchele vingejitenga.., ila ni kweli redio zimekuwa nyingi sana hadi hakuna choice inabidi hawa watu waanze market segmentation yaani kila redio iwe na targeted audience.., nadhani kwa sasa audience nyingine nyingi Hazitendewi haki hakuna watu wa ku-analyse news vizuri na kuwa critical..., na hata wakijadili issues wangekuwa wanaleta wataalamu wa pande mbili ii wapate different views na different sides of the story na sio kuhubiri
 
Jamani hebu fuatilieni hizi fm redio zilojaa ka utitili. Vipindi vyao sivielewielewi kwanza vinafanana sana wanabadili tu majina afu mada zao nyingi ni porojo. Sikatai sometimes porojo ni burudani lakin it is too much.

Afu kero kubwa ni pale wanaposhupalia matukio makubwa yanayo wazidi uwezo wa kuchambua af wanaanza kupotosha umma. Utakuta eti mtangazaji anajadili habari za Libya wakati uelewa wake ni finyu.

Wa kati mwingine wanatake side wanapojadili issue sensitive kama za dini ( rejea isssue za Igunga) Nashauri wamiliki waajiri watu wenye kada tofauti ili kila mtagazaji a deal na area yake. Pia wajisomee make ni aibu kumwaga pumba mbele ya public utadharaulika. Pia wamiliki wajue Tanzania sio ya masharobalo tu. Waaandalieni masharobalo vipindi vyao na pia vyenye mantiki andaeni.

Mtapotosha watoto wetu. KUtwa nzima utasikia ooohhh.. UNAONA BWANA. EBO!

Mara {haina majotroo} khaaa.. What this ?
 
Nakerekwa na tabia yao (watangazaji) ya kujifanya wao ndo wachambuzi na wanajua kila kitu, hasa kipindi cha Jahazi, Leo tena, Mcharuko, na kile cha Radio One knafanana na Leo tena sio wanakiijitaje wenyewe. Yaani vipindi havina mbele wala nyuma utakuta wamejazana studio kibao afu wote ni watangazaji. Kila mtu anaongelea umbea utadhani watanzania wote tunapenda habari za umbea. Na kinachokera wanakaa studio masaa manne wanaongea tu.
 
Kwa mujibu wa Waziri wa Habari alisema kuna jumla ya vituo vya radio sabini na kitu. Na Tz ndio inaongoza Afrika kwa kuwa na vyombo vingi vya habari.
Turudi kwenye mada husika.
Sasa hivi mtu yeyote anapoanzisha kituo cha Radio uwa ana kuwa amekwisha target audience. Na kama tujuavyo idadi ya vijana na watoto ni kubwa kuliko hata wazee. Ndio maana vipindi vingi utakuta vinalenga zaidi vijana. Kwa hiyo unapokuta Radio ina vipindi vingi ambavyo kwako wewe unaona havina maana,kwa mwenye Radio vina maana sana kibiashara.
''Business men believes that,money makes the world go round''
 
Jamani hebu fuatilieni hizi fm redio zilojaa ka utitili. Vipindi vyao sivielewielewi kwanza vinafanana sana wanabadili tu majina afu mada zao nyingi ni porojo. Sikatai sometimes porojo ni burudani lakin it is too much.

Afu kero kubwa ni pale wanaposhupalia matukio makubwa yanayo wazidi uwezo wa kuchambua af wanaanza kupotosha umma. Utakuta eti mtangazaji anajadili habari za Libya wakati uelewa wake ni finyu.

Wa kati mwingine wanatake side wanapojadili issue sensitive kama za dini ( rejea isssue za Igunga) Nashauri wamiliki waajiri watu wenye kada tofauti ili kila mtagazaji a deal na area yake. Pia wajisomee make ni aibu kumwaga pumba mbele ya public utadharaulika. Pia wamiliki wajue Tanzania sio ya masharobalo tu. Waaandalieni masharobalo vipindi vyao na pia vyenye mantiki andaeni.

Mtapotosha watoto wetu. KUtwa nzima utasikia ooohhh.. UNAONA BWANA. EBO!

Mkuu tatizo ni kwamba hii fani ya radio personality imevamiwa na watu wasio na sifa ambao ni wababaishaji tu. As a radio personality mtu anatakiwa awe mwenye uelewa wa mambo kwa undani na kipaji. Ndio maana mtu kama Howard Stein ali-sign a mega deal of 5 years worth 500 million USD!! na watu wa Sirius satellite radio Inc.. Mpaka hii biashara ya kuokotana barabarani ili mradi mtu anajua kupiga kelele anakuwa mtangazaji ndio maana radio stations zetu zimefika hapa
 
sio lazima kusikiza soma hata novel kupanua wigo wako wa lugha
waachie wazee wa uswazi na kina mama wa kiswazi wasikize
 
Tena vipindi vya kuanzia saa tatu hadi saa saba, ni umbea tu na mbaya zaidi karibia redio zote vipindi vya muda huo vinafanana.
 
tena watangazaji wengine wana tabia ya kuongelea maisha yao binafsi.
 
Clouds FM ndio inaongoza kwa kuboa sidhani kama kwa wale wasomi walioelimika wanaweza kupoteza muda wao kusikiliza upupu wa hii radio, na hii imechangiwa na kuwa na WATANGAZAJI ambao elimu yao haizidi kidato cha sita
 
Jamani hebu fuatilieni hizi fm redio zilojaa ka utitili. Vipindi vyao sivielewielewi kwanza vinafanana sana wanabadili tu majina afu mada zao nyingi ni porojo. Sikatai sometimes porojo ni burudani lakin it is too much.

Afu kero kubwa ni pale wanaposhupalia matukio makubwa yanayo wazidi uwezo wa kuchambua af wanaanza kupotosha umma. Utakuta eti mtangazaji anajadili habari za Libya wakati uelewa wake ni finyu.

Wa kati mwingine wanatake side wanapojadili issue sensitive kama za dini ( rejea isssue za Igunga) Nashauri wamiliki waajiri watu wenye kada tofauti ili kila mtagazaji a deal na area yake. Pia wajisomee make ni aibu kumwaga pumba mbele ya public utadharaulika. Pia wamiliki wajue Tanzania sio ya masharobalo tu. Waaandalieni masharobalo vipindi vyao na pia vyenye mantiki andaeni.

Mtapotosha watoto wetu. KUtwa nzima utasikia ooohhh.. UNAONA BWANA. EBO!
Achana nazo............. We anza kusikiliza unazozipenda........... Inaelekea kwa umri, tabia na priority zako kuna siku utataka beach zote zifungwe
 
Jamani muda wenyewe sio wa wasomi, saa tatu ndio odience yenyewe. Yasikupe shida sana hizi zinapita tu, mambo yakibana watatafuta kazi za kufanya mbali na kubiga domo. We switch BBC
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom