Invarbrass
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 504
- 111
Jamani hebu fuatilieni hizi fm redio zilojaa ka utitili. Vipindi vyao sivielewielewi kwanza vinafanana sana wanabadili tu majina afu mada zao nyingi ni porojo. Sikatai sometimes porojo ni burudani lakin it is too much.
Afu kero kubwa ni pale wanaposhupalia matukio makubwa yanayo wazidi uwezo wa kuchambua af wanaanza kupotosha umma. Utakuta eti mtangazaji anajadili habari za Libya wakati uelewa wake ni finyu.
Wa kati mwingine wanatake side wanapojadili issue sensitive kama za dini ( rejea isssue za Igunga) Nashauri wamiliki waajiri watu wenye kada tofauti ili kila mtagazaji a deal na area yake. Pia wajisomee make ni aibu kumwaga pumba mbele ya public utadharaulika. Pia wamiliki wajue Tanzania sio ya masharobalo tu. Waaandalieni masharobalo vipindi vyao na pia vyenye mantiki andaeni.
Mtapotosha watoto wetu. KUtwa nzima utasikia ooohhh.. UNAONA BWANA. EBO!
Afu kero kubwa ni pale wanaposhupalia matukio makubwa yanayo wazidi uwezo wa kuchambua af wanaanza kupotosha umma. Utakuta eti mtangazaji anajadili habari za Libya wakati uelewa wake ni finyu.
Wa kati mwingine wanatake side wanapojadili issue sensitive kama za dini ( rejea isssue za Igunga) Nashauri wamiliki waajiri watu wenye kada tofauti ili kila mtagazaji a deal na area yake. Pia wajisomee make ni aibu kumwaga pumba mbele ya public utadharaulika. Pia wamiliki wajue Tanzania sio ya masharobalo tu. Waaandalieni masharobalo vipindi vyao na pia vyenye mantiki andaeni.
Mtapotosha watoto wetu. KUtwa nzima utasikia ooohhh.. UNAONA BWANA. EBO!