Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,301
Ok, searching it. I"ll be backRejea maneno yangu ya awali mkuu, nilisema kuna Uzi humu unamuhusu mfugale
Kiufupi huyu ni Mhandisi, madaraja mengi unayoyaona ukienda mikoani yamebuniwa na mfugale, hivyo kwa vile kila siku wanasiasa ndio wanaopata credit kwenye mitaa, barabara n.k basi wakaona hapo Tazara apewe mfugale,