Fly Over 7 kujengwa jijini Dar

Fly Over 7 kujengwa jijini Dar

Tatizo la watawala wetu ni kufikiri Dar ndio Tanzania siku wakijabaini Tanzania ni kubwa kuliko Kenya,Uganda,Rwanda & Burundi zote ukiziunganisha kwa pamoja bado kufikia ukubwa wa Tanzania wataanza kutazama Mwanza,Tanga,Arusha,Mbeya,Kilimanjaro,Mara & Kigoma.
 
acha kuota wewe...au hivi vidaraja vya waenda kwa miguu kama hapo buguruni ndio mnaita fly overs ..?


Mnahitaji maombezi makubwa sana. Na ndiyo nyie mlitegemea kuendesha nchi kwa miaka mitano.
 
Mimi nadhan shida kubwa ya dar ni kukosa planners au watu kufanya kazi kwa mazoea hasa wahandic wa tanroads! Hawa ndio kikwazo kikubwa kwani kaxi zao nyingi zimekosa weledi!! Unakuta kazi ujenzi unaendelea huku ikiwa na matatizo makubwa ya operation problem hata hawajali!! Poor tanroads! Nitaje sehemu chache zenye operation problems
1. External road juction to mandela! Pale pamekosewa sana approaches za barabara hii ya kutoka makuburi na kuelekea mabibo!! Hahitaji elimu ya phd kuona tatizo la pale! Kabla mkandarasi estim hajaondoka wampe kazi ya kurebisha! Huwezi kukwepa nguzo ya umeme na kusababisha usumbufu mkubwa huku ukijua nguzo ya umeme inahamishika with only some 5 million!!
2. Mabibo junction kutokea morogoro road, gari kubwa haliwezi kuingia huku gari kutokea mabibo zinaendeleo! Just wamekwepa nguzo ya fiber halotel! Lol tanroads Tubadilike tumsadie mheshimiwa rais kupambana na foleni!!
3. Matumizi bora ya barabara ni kikwazo kikubwa mfano kituo cha landmark ubungo na biashara mbagala mwisho! Just a few!
4. Barabara ya goba kutokea morogoro road, junction to makabe! Katika eneo hili wamefidia eneo la wazi ila badala ya kujenga barabara kwa kutumia eneo hilo bado wamebananisha barabara kunako milango ya nyumba za watu na kuache eneo la wazi!! Sasa njia ya waenda kwa miguu watajenga wapi?
Kuna mengi ila nawaomba waongeze weledi
 
Back
Top Bottom