Floyd Mayweather anaishi maisha ya ajabu

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Jun 23, 2012
12,320
11,327
Jaman embu muangalieni tu...
Hizo hela na bado zinaingia kila mwezi ....daah..haya.
1462527634222.jpg
 
Ila watu kama hawa hata kukupa dola elfu moja hawezi nashindwaga kuwaelewa watu wenye pesa. Kama juz alichoma hela hadharani....saivi yuko visiwan huko anaafanya racing sports kwenye maji..
Meza kamaa yako hapo ndan ndugu unayesoma imepangwa hela bunda kote na ni bunda zimeshiba..daah..
 
Ila watu kama hawa hata kukupa dola elfu moja hawezi nashindwaga kuwaelewa watu wenye pesa. Kama juz alichoma hela hadharani....saivi yuko visiwan huko anaafanya racing sports kwenye maji..
Meza kamaa yako hapo ndan ndugu unayesoma imepangwa hela bunda kote na ni bunda zimeshiba..daah..

Hakupi hata dola 100

Ila wakifulia, utawaonea huruma
 
Hakupi hata dola 100

Ila wakifulia, utawaonea huruma
Hahahaa umeona mkuu...sjui kwann inakuaga hivo...tena anaweza kukuambia mwanangu saiv sina hela ...tena hao anaoambatana nao kwenye bata ..i mean team yake..nataman sana kujua anawalipaje...labda kama wanapiga dili kupitia yeye..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom