Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,053
- 33,906
Kaamua kujilipua puuu!Huyu kijana ana roho ngumu sana aisee
Kaamua kujilipua puuu!Huyu kijana ana roho ngumu sana aisee
Hahaha kwanini mkuuUkisikia mtu anaitwa Daudi halafu ni mkazi wa Mwanza au shinyanga muonee huruma sana
Hahahahaha dogo huyo ni mchimbaji Mdogo acha akague mgodi akivuna pesa anachafuaHuyu kijana bado mdogo sana amekwenda kujitwisha mzigo wa mke wa mtu.sijui hana marafiki wa kumshauri au namna gani..
Ila ipo siku atakumbuka na Frola atamkumbuka Mbasha
Hapo kwenye picha ni baada ya kugegedana au kabla?
Maana kwa ufuska huyu mama hatumuwezi.
Team mapovu njooni.
Mkuu kabla ya kuvaa gauni leupe tunafunga kwanza kuomba Mungu aepushe shari yeyote na hii inasaidia pia kuchoma mafuta ingawa lengo ni maombi
Nani na mamlaka gani imetengua kile kiapo cha kuwa "HADI KIFO KITAKAPOTUTENGANISHA"? Ndoa hiyo inafungwa kanisa gani? kama ni kwa pilato sawa lakini kama ni kanisani basi afungishaye ndoa hiyo ajiulize ni biblia ipi anaitumiaa?Kesho flora mbasha (kwa sasa anapenda kuitwa madam flora) anapenda kukualika kesho kwenye ndoa yake itakayofanyaka jijini Mwanza
Kama wewe ni shabiki wake kama upo single unaweza kutoa sh.50,000 au uko double unatoa sh 70,000 upate nafasi ya kushuhudia harusi yake na mumewe mtarajiwa Daudi Kusweka
Madam pia atazindua albam yake mpya
View attachment 502676
View attachment 502677
View attachment 502678
View attachment 502679
View attachment 502680
Nyie karieni kuaibisha wenzenu wanakula maishaAnaliaibisha Jina la YESU,ameubili vizuri jina la Yesu kwa injili leo ni mzizi kwani maandiko yanasema haruhusiwi kuolewa hadi aliyefunganaye ndoa ya kwanza afe.Huo anaofanya sasa ni uzinzi
Oooohoo!! Tena?Hapo chumbani kabla ya picha walifanya nini wakati hawajafunga ndoa?
acheni ushamba mbona suleiman alikua na wake wengiKesho flora mbasha (kwa sasa anapenda kuitwa madam flora) anapenda kukualika kesho kwenye ndoa yake itakayofanyaka jijini Mwanza
Kama wewe ni shabiki wake kama upo single unaweza kutoa sh.50,000 au uko double unatoa sh 70,000 upate nafasi ya kushuhudia harusi yake na mumewe mtarajiwa Daudi Kusweka
Madam pia atazindua albam yake mpya
View attachment 502676
View attachment 502677
View attachment 502678
View attachment 502679
View attachment 502680
Love doesnt make sense at all.huyu dogo kapotea njia kabisa anaoa mkweche wakati yeye namwona bado hajawahi kuwa kwenye ndoa. Kuna siku atatamani kitu fresh aone kikoje kwani anaanza ndoa na mama aliyekwisha kaa ndani ya ndoa muda mrefu. hii nayp haita survive
True mdadaLove doesnt make sense at all.
Unapojiuliza cha nini, kuna mwenzio anakesha kukiwaza atakipata lini. Mapenzi ya watu myaache tu,yatawakondesha bureeee!!
Ajikondeshe kidogo kabla ya harusi.
Kesho ndo shughuli au ale sabuni ya unga
Sasa atajikondashaje wakati harusi ni kesho?
Flora ndiye kaoa tenaKwani Kusekwa alishaoaga