Napenda sana maji ila zoezi la ku float lilinishinda, kila nikijiachia napiga samasoti daah nikaona na mbeep israeli nikaachana na zoezi hilo.
Hiyo chumvi haina madhara kwa bin adam kama viumbe wengine hakuna? Au ni dawa ya ngozi?
Napenda sana maji ila zoezi la ku float lilinishinda, kila nikijiachia napiga samasoti daah nikaona na mbeep israeli nikaachana na zoezi hilo.
Hiyo chumvi haina madhara kwa bin adam kama viumbe wengine hakuna? Au ni dawa ya ngozi?