....aaaahhhhhh...hahahaha umeshasikika wewe hahahaha!
am out! nisijedaiwa Voucher.
Lizzy ujijue ume facilitate hii makitu aka infatution hapa..lol
Mbu mpaka najuta sasa.
Alafu kumbe na wewe ni ka'bad boi' in disguise ehhhhh? Nimeona kule kwa MM mpaka nikaahirisha thread nlotaka kurusha leo. Ngoja nikutafutie mwenye mwanya na namba nane uanze kuflirt na wewe.
sikuelewi bwana Mbu nimemtosa mzee huyo asikuogopeshe sema baby
Nadhani kila mtu anajua namna "flirting" inavyoweza kurahisisha siku au hata maisha kwa ujumla. I'ts fun, relaxing, can turn a bad day into a good one and so so.
Swali. . .utajisikiaje kumuona mpenzi/mume/mke wako akiflirt na wanawake/wanaume wengine?! Na kwa hapa JF ambapo watu wanaflirt saaaaana tena waziwazi (I suppose ndo sababu watu wengine wanaogopa wenzi wao kufahamu ID zao humu) ukiwa unaifahamu ID ya mwenzio na ukawa unaona anavyoflirt (wanavyoitana majina matam tam ambayo wewe hajawahi kukuita) na wadada/wakaka wa humu utajisikiaje?!Vibaya/vizuri/hutojali?!
Binafsi nisingependa/furahia wala mimi nisingefanya. Ningependa tuflirt sisi kwa sisi bila kushirikisha watu wengine.
Hivi mahusiano huwa yanaombwa?Flirting ya RR na Smile hii inaelekea kwenye tongozo .............. So tunapata jibu kuwa si vema kuflirt na mwingne kama unaye mpenzi wa moyo kwani flirt can lead to mahusiano!
wanakuwa wakali hao!!!
Lakini wao ndo mafundi.....
Nadhani kila mtu anajua namna "flirting" inavyoweza kurahisisha siku au hata maisha kwa ujumla. I'ts fun, relaxing, can turn a bad day into a good one and so so.
Swali. . .utajisikiaje kumuona mpenzi/mume/mke wako akiflirt na wanawake/wanaume wengine?! Na kwa hapa JF ambapo watu wanaflirt saaaaana tena waziwazi (I suppose ndo sababu watu wengine wanaogopa wenzi wao kufahamu ID zao humu) ukiwa unaifahamu ID ya mwenzio na ukawa unaona anavyoflirt (wanavyoitana majina matam tam ambayo wewe hajawahi kukuita) na wadada/wakaka wa humu utajisikiaje?!Vibaya/vizuri/hutojali?!
Binafsi nisingependa/furahia wala mimi nisingefanya. Ningependa tuflirt sisi kwa sisi bila kushirikisha watu wengine.
teh kwani wewe na mbu mlianzia wapi?Flirting ya RR na Smile hii inaelekea kwenye tongozo .............. So tunapata jibu kuwa si vema kuflirt na mwingne kama unaye mpenzi wa moyo kwani flirt can lead to mahusiano!
Flirting ya RR na Smile hii inaelekea kwenye tongozo .............. So tunapata jibu kuwa si vema kuflirt na mwingne kama unaye mpenzi wa moyo kwani flirt can lead to mahusiano!
teh kwani wewe na mbu mlianzia wapi?
cleared issue.....Hapo hapo mwaya Smiles............ sijui nianze kwa kuwapongeza au ni-hold kwanza mpaka kieleweke?